Samweli Sitta aanza kazi kwa kukiuka kanuni za bunge la katiba


Duu aise mkuu umemchanachana jamaa na ka mastaz kake kiungwana kabisa. Safi sana
 

Hujajibu kama mwanasheria ila kama mwanamipasho kwenye jukwaa la maigizo
 
Unaposema haipo mezani una maana gani hasa? kwamba wajumbe wa bunge maalumu la katiba hawana rasimu? acha kukariri wewe, hizo ni protocol tu maana hata rais asipozindua, hakuna athari hata moja.
Kabisa kabisa ingekuwa ni wehu wa hali ya juu rais anazindua bunge hata rasimu haipo mezani sijui ingekuwa kitu gani.
 
Sina imani nae huyu. Huwa anafanya kazi kwa sifa.na ni mbaguzi. Wabunge alokua hapatani nao alikua hawapi nafasi au akiwakatisha.
Time will tell
 

I am sorry, I don't have time for you!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…