KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
tatizo wala si Sioi kutokuwa chaguo la chama, tatizo ni kuwa chama chenyewe si chaguo la wananchi
wananchi wa arumeru sio?
tatizo wala si Sioi kutokuwa chaguo la chama, tatizo ni kuwa chama chenyewe si chaguo la wananchi
Acha waendelee kujichanganya wao kwa wao tu,.huu ni mwanzo tu.
Viva CDM.
Sina hata la kusema
sita amekua na misimamo sana na yuko consistent sasa sijui huo unafiki nyie mnauona wapi
Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
kwa mizengwe.
Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari
Mytake:
Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
maana unafiki wake ndo unamponza
Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
kwa mizengwe.
Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari
Mytake:
Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
maana unafiki wake ndo unamponza