mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,770
- 7,122
Hafai bora ndungai au zungu ila zungu ana pa kulekebisha kidogo kupinguza mambo ya kariakoo
Atakula nini?
kwani sita ni mbunge?kuwa spika si mpk uwe mbunge?mm simwelewi hapa sit
ta.
naanza kumlaumu NYERERE kwa kuwalea vibaya vijana wake... hivi sitta lini ulafi utapungua?au unataka ukamsumbue magufuli kwa tamaa zako????sitta apumzike kama kina wasira...
kwani sita ni mbunge?kuwa spika si mpk uwe mbunge?mm simwelewi hapa sit
ta.