HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,195
Taarifa toka korido za jumba jeupe kule mtaa wa Lithuli ni kuwa FISADI SAMUEL SITTA jina lake limo miongoni mwa wanasiasa watakao pewa nishani ya Uhuru wa nchi hii.
Msisahau kuwa bila jasho na damu za babu na bibi zetu tusingekuwa huyu. akini watawala wetu leo wameona ni bora kuwazawadia mafisadi Kama Sitta nishani hizi.
Kwa maneno mengine sysytem yetu balada ya kuwa reward watu ambao wako worthy sisi tuna reward ma corrupt.
Stay tuned...
Msisahau kuwa bila jasho na damu za babu na bibi zetu tusingekuwa huyu. akini watawala wetu leo wameona ni bora kuwazawadia mafisadi Kama Sitta nishani hizi.
Kwa maneno mengine sysytem yetu balada ya kuwa reward watu ambao wako worthy sisi tuna reward ma corrupt.
Stay tuned...