Samwel Sitta aanikwa uovu wake

Samwel Sitta aanikwa uovu wake

CCM wajanja, katiba mpya lilikuwa tego la kumuondoa six kwenye ligi, nae kwa ushamba akalivaa
 
Mkeo kakupa umbea mwAnaume mzima umepanic,unatutia aibu wenzio kwa kulalama make mie mwenyewe miaka 40 sina ila ninaweza nikajenga idadi hiyo ya nyumba na wala isiwe kesi,kwani hao wengine wanazo ngapingapi kila mmoja?
Sitta hana jipya rais wetu ni.lowasa

Julius Malema Jr
say no to exnophobia all Africans we r one
 
Teh!

Sitta anaubora wake. Ila, ktk suala la Urais namuomba atulie tu(kama kweli humsingizii)
 
Mzee Sita naomba nikwambie tu wazi, kwa sasa hauna mvuto kabisa, wananchi wameshakugundua we ni mtu wa aina gani, (nikisema hapa nitaonekana sina nidhamu kwa wazee)....

Kuanzisha kwako CCJ ni uhaini na usaliti mkubwa kwa chama cha mapinduzi.... Leo hii uneona haitoshi umemtuma kijana wako Ramadhani Semtawa aanzishe chama kingine, kweli unatapa tapa mzee wangu, naomba unisikilize tena, ushapoteza mvuto kwa jamii....

Kwenye swala la katika uliingia mkenge bila kujua unaingia mkenge, ulishindwa kufanya what we call political projection, naomba nikwambie hatutaki wanasiasa wasio na uwezo wa kufanya political projection...... Kwa katiba hiyo hiyo leo hii ukienda Arusha au Mara walai unapigwa mawe, wananchi hawakutaki, na wanakuona kama msaliti, mtu wa visasi, wa kupenda sifa na mtu wa maslahi binafsi....

Mzee wangu Sita, yale majumba yako Tabata, Kinondoni na Knyama uliyajenga kwa mawe? leo umenipa maajabu mengine ya dunia kwamba mawe yanaweza kujenga nyumba, nyumba zaidi ya 3 ni za nini kama huo nao siyo ufisadi?, au ndiyo muongozo mpya wa azimio la Arusha.

Mzee wangu Sita, unapogawa laki moja moja kwa wajumbe wa mkutano mkuu, (hata mimi mke wangu amepata huo mgao) umezitoa wapi hizo fedha, au wewe laki moja moja zako ni fedha feki? Au ni makaratasi tu

Mzee wangu, ukiona sisi vijana wadogo tunakushauri usikasirike bali chukua ushauri wetu. Kwa sasa hauna mvuto mzee, usipoteze muda wako kuwaza urais mzee wangu....

Kwann unaanza na mzee mafisaidi hawastahili heshima kiivo? Anza na ww fisadi samwel sitta ..........
 
anauza mke wake kijanja janja, kama sio kweli mwambie amrudishie 6 hela yake
 
Mzee Sita naomba nikwambie tu wazi, kwa sasa hauna mvuto kabisa, wananchi wameshakugundua we ni mtu wa aina gani, (nikisema hapa nitaonekana sina nidhamu kwa wazee)....

Kuanzisha kwako CCJ ni uhaini na usaliti mkubwa kwa chama cha mapinduzi.... Leo hii uneona haitoshi umemtuma kijana wako Ramadhani Semtawa aanzishe chama kingine, kweli unatapa tapa mzee wangu, naomba unisikilize tena, ushapoteza mvuto kwa jamii....

Kwenye swala la katika uliingia mkenge bila kujua unaingia mkenge, ulishindwa kufanya what we call political projection, naomba nikwambie hatutaki wanasiasa wasio na uwezo wa kufanya political projection...... Kwa katiba hiyo hiyo leo hii ukienda Arusha au Mara walai unapigwa mawe, wananchi hawakutaki, na wanakuona kama msaliti, mtu wa visasi, wa kupenda sifa na mtu wa maslahi binafsi....

Mzee wangu Sita, yale majumba yako Tabata, Kinondoni na Knyama uliyajenga kwa mawe? leo umenipa maajabu mengine ya dunia kwamba mawe yanaweza kujenga nyumba, nyumba zaidi ya 3 ni za nini kama huo nao siyo ufisadi?, au ndiyo muongozo mpya wa azimio la Arusha.

Mzee wangu Sita, unapogawa laki moja moja kwa wajumbe wa mkutano mkuu, (hata mimi mke wangu amepata huo mgao) umezitoa wapi hizo fedha, au wewe laki moja moja zako ni fedha feki? Au ni makaratasi tu

Mzee wangu, ukiona sisi vijana wadogo tunakushauri usikasirike bali chukua ushauri wetu. Kwa sasa hauna mvuto mzee, usipoteze muda wako kuwaza urais mzee wangu....

Vijana wa Lohasi wapo kazini. Safari hii hasi itageuzwa kuwa chanya.
 
Mkuu wewe hunaakili kabisa yani yumba tatu kwa mtu aliyeanza kuwa waziri toka wakati wa nyerere nazo ni kitu mbona nyumba tatu chache sana kama mimi ninazo mbili wakati ninamiaka kumi kazini ije kuwa mtu aliyewaziri toka miaka ya nyerere.
 
Mkuu wewe hunaakili kabisa yani yumba tatu kwa mtu aliyeanza kuwa waziri toka wakati wa nyerere nazo ni kitu mbona nyumba tatu chache sana kama mimi ninazo mbili wakati ninamiaka kumi kazini ije kuwa mtu aliyewaziri toka miaka ya nyerere.

Labda huko Simiyu sio mjini hapa!!
 
Back
Top Bottom