Kama kuna kitu kitawaondoa ni kukosa logic ya kutetea mawazo/maamuzi yao sahihi mbele ya jamii lakini UKAWA in the eyes of many hawana jema kwa ustawi wa taifa ni kama fisi anaevizia mkono wa mtu akifikiri utaanguka kisa unaning'inia akitembea. To UKAWA serikari tatu ni kwa sababu za kisiasa tu, lakini si kwa future na ustawi wa taifa jamii.Hii BMK litaenda na wengi,hata Chama chenyewe kinaweza kupitiwa na mzimu wa Katiba.
Ni kweli kabisa, hicho kiburi cha Samuel Sitta siyo tu ni kitanzi chake cha kisiasa, bali pia ni kukichimbia kaburi chama hicho kikongwe kabisa hapa nchini.Hii BMK litaenda na wengi,hata Chama chenyewe kinaweza kupitiwa na mzimu wa Katiba.
Nina Shaka na uwelevu wako juu ya siasa au tuseme ni chuki binafsi
Kikubwa ni maoni wananchi kuzingatiwa.UKAWA kwa hili nawaunga mkono maana haikuwepo wakati tume inapitia wananchi kukusanya maoni,nami nilitoa maoni mengi ikiwamo ya serikali tatu.Kinachotokea sasa ni dhahiri fedha za walipa kodi zinafujwa kwa kitendo cha kujadili isiyo Rasimu ya Tume.Kama kuna kitu kitawaondoa ni kukosa logic ya kutetea mawazo/maamuzi yao sahihi mbele ya jamii lakini UKAWA in the eyes of many hawana jema kwa ustawi wa taifa ni kama fisi anaevizia mkono wa mtu akifikiri utaanguka kisa unaning'inia akitembea. To UKAWA serikari tatu ni kwa sababu za kisiasa tu, lakini si kwa future na ustawi wa taifa jamii.
Kikubwa ni maoni wananchi kuzingatiwa.UKAWA kwa hili nawaunga mkono maana haikuwepo wakati tume inapitia wananchi kukusanya maoni,nami nilitoa maoni mengi ikiwamo ya serikali tatu.Kinachotokea sasa ni dhahiri fedha za walipa kodi zinafujwa kwa kitendo cha kujadili isiyo Rasimu ya Tume.
Ukawa kwa kutokuwa sehemu ya udhalimu huo,nawapongeza sana
Wana JF naomba Muongozo,
Maakama ya kadhi ni suala la Muungano au ni suala la nchi washirika?
asanteni.
Sita hakuwahi kuwa hata kibatari iliyozimika achilia mbali nyota.
Ni rasimu ipi sasa inayoenda jadiliwa embu tuwekee basi ata attachment tuone kama kuna rasimu nyengine UKAWA wamepewa kujadili tofauti na iliyotolewa na tume.Kikubwa ni maoni wananchi kuzingatiwa.UKAWA kwa hili nawaunga mkono maana haikuwepo wakati tume inapitia wananchi kukusanya maoni,nami nilitoa maoni mengi ikiwamo ya serikali tatu.Kinachotokea sasa ni dhahiri fedha za walipa kodi zinafujwa kwa kitendo cha kujadili isiyo Rasimu ya Tume.
Ukawa kwa kutokuwa sehemu ya udhalimu huo,nawapongeza sana
Sitta ni nyota inayoendelea kung'aa ila mnajitahidi kwa nguvu zote Kuizima au kuifunika ..... Lakini kawaida panapo ukweli uongo hujitenga.......
Pia tukumbuke uongo hupaa ila ukweli hapanda ngazi... Hatua kwa hatua ... Vipingamizi vingi na miba ya kila aina mwisho wa siku ukifika juu haushuki ng'ooo ndo yanayomkuta sitta...
Mmekazana kupika fitna kuwa safari yake ya kisiasa imefika mwisho ila facts hamna!!!!!!!
No research... No right to speak....
No facts... No right to argue.......
Acheni fitna za kisiasa angalieni penye hali kwa maslahi y taifa.... Peace