Sisi wakazi wa jimbo la Urambo Mashariki,kwa kukaa muda mrefu tukiwa tunaendeshwa na siasa za kibabe na vitisho toka kwa mbunge ambaye moja ya majina yake ni namba iliyopo kati ya 5 na 7 na ambaye wakati furani alisha kuwa kipaza sauti pale mjengoni,mwaka 2015 uwe ni mwaka wa kumpumzisha ili vijana na wao washike nafasi natuzikatae hila zake za kutaka kumnadi mke wake ili abadilishane nae kijiti cha Ubunge kwani hiyo ni dharau mbaya mno kwani kufanya hivyo nikuamini kuwa jimbo letu halina msomi mwingine anaye weza kutuongoza na hizo ni hila za kuendeleza Usultani wake,naomba kuwasilisha!