Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
1.SAM MISAGO vs B-TWELVE
2.ADAM MCHOMVU vs ABDALA(dulla wa planet bongo)
*hawa jamaa wanaendana sana kiutangazaji bila kusahau 'swaga' na wote wako hot kiukweli(wanajua),yupi anakukosha zaid kati yao katika kila kipengele?
NB:kama huwa huwasikilizi/huwajui usicomment
2.ADAM MCHOMVU vs ABDALA(dulla wa planet bongo)
*hawa jamaa wanaendana sana kiutangazaji bila kusahau 'swaga' na wote wako hot kiukweli(wanajua),yupi anakukosha zaid kati yao katika kila kipengele?
NB:kama huwa huwasikilizi/huwajui usicomment