Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,692
Samuel Eto'o Staa wa zamani wa vilabu vya Barcelona, Inter Milan na Chelsea, Samuel Eto'o baada ya kutangaza kustaafu kucheza soka mwezi Septemba amefichua mipango yake ya kwenda kusoma Harvad!
.
"Nataka kusaidia na kutoa mchango wangu mzuri kwa mabadiliko ya bara letu," Unapokuwa mchezaji wa mpira wa miguu, hunalipa watu ili wasimamie kazi yako na mambo yako kwa ujumla.
Lakini wakati unapofika ni zamu yako unataka kusimamia watu wengine na unataka kuwaendeleza, unahitaji kujifunza ujuzi mpya.
Mkongwe wa soka la Afrika ataanza masomo yake ya usimamizi wa biashara katika Shule ya Biashara ya Harvad (HavardBusinessSchool) Januari 2020.
.
"Nataka kusaidia na kutoa mchango wangu mzuri kwa mabadiliko ya bara letu," Unapokuwa mchezaji wa mpira wa miguu, hunalipa watu ili wasimamie kazi yako na mambo yako kwa ujumla.
Lakini wakati unapofika ni zamu yako unataka kusimamia watu wengine na unataka kuwaendeleza, unahitaji kujifunza ujuzi mpya.
Mkongwe wa soka la Afrika ataanza masomo yake ya usimamizi wa biashara katika Shule ya Biashara ya Harvad (HavardBusinessSchool) Januari 2020.