Samsung t-mobile ni original??

Samsung t-mobile ni original??

Good Man

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2015
Posts
932
Reaction score
1,173
nimenunua samsung S3 T-Mobile juzi hizi simu ni orijino au feki??
 
ni original ila kuna uwezekano mkubwa isikamate 3g. juu inaonesha E au 3g au H?
 
dah kwaio kaka siwezi fanya manuva yoyote nikapata 3G
 
T mobile ni kampuni ya simu kama voda au tigo..wao sio watengenezaji wa simu....hizo simu zenye logo yao ni simu ambazo zilikuwa za contract lkn contact ikiisha unaweza kui unlock na kutumia mtandao wowote.....mi natumia huu mtandao kwa mwaka wa kumi sasa na kila nikija bongo huwa natumia simu niliyochukua tmobile.....hiyo simu iko pouwa na inakamata 3g kama kawa.
 
T mobile ni kampuni ya simu kama voda au tigo..wao sio watengenezaji wa simu....hizo simu zenye logo yao ni simu ambazo zilikuwa za contract lkn contact ikiisha unaweza kui unlock na kutumia mtandao wowote.....mi natumia huu mtandao kwa mwaka wa kumi sasa na kila nikija bongo huwa natumia simu niliyochukua tmobile.....hiyo simu iko pouwa na inakamata 3g kama kawa.

nimekupata sana, na hio contract itachukua mda gani kuisha ili sim ianze kukamata 3G, ofcourse hii yangu inafanya poa na hii 4G ingawa somdtime mtandao unarudi mpaka E
 
nimekupata sana, na hio contract itachukua mda gani kuisha ili sim ianze kukamata 3G, ofcourse hii yangu inafanya poa na hii 4G ingawa somdtime mtandao unarudi mpaka E

Kwa wewe kama mtandao wako unatoa huduma ya 3g basi utapata....makampuni mengi ya simu huku nje huwa yanatoa simu bure kwa mteja aliyechagua huduma ya kulipia kwa mwezi (postpaid)....ukishamaliza contract yako basi unapewa tena simu hivyo hiyo simu unaweza uza au kuigawa kwa jamaa.
Simu zao huwa madhubuti na wala sio za kubabaisha.
 
Mimi nina Sumsung Galaxy T-mobile ni nzuri sana. Nayo tangu 2011 mpaka leo ipo
 
Kanzagood upo +255 au +1? Kama +1 uhakika ila kama 255 as long inashika mitandao ya hapa, it's unlocked so endelea tu kufurahia.
Am using LG G2 T Mobile iko poa na updates zote napata. Ila disable hivo vi bloatware vya T Mobile, nenda setting hafu general hafu apps hafu all apps kishagusa hivo zote zenye T Mobile kisha disable
 
Last edited by a moderator:
Kanzagood upo +255 au +1? Kama +1 uhakika ila kama 255 as long inashika mitandao ya hapa, it's unlocked so endelea tu kufurahia.
Am using LG G2 T Mobile iko poa na updates zote napata. Ila disable hivo vi bloatware vya T Mobile, nenda setting hafu general hafu apps hafu all apps kishagusa hivo zote zenye T Mobile kisha disable

Ving'oe kabisa
 
Last edited by a moderator:
T-mobile is a german mobile provider subsidiary ya Deutsche Telecom: https://en.wikipedia.org/wiki/T-Mobile
My experience with t-mobile phones is that they usually work in Tz especially if unlocked.
They are 100% more original, kuliko hizo za jama wa mtani s5 ya laki nne !
 
nimenunua samsung S3 T-Mobile juzi hizi simu ni orijino au feki??

Duu! Hongera hiyo ni cm nzuri nimetamani ingekuwa yangu. Ninayotumia mimi nililetewa frm US toka 2012 inasoma 3G very strong
 
Duu! Hongera hiyo ni cm nzuri nimetamani ingekuwa yangu. Ninayotumia mimi nililetewa frm US toka 2012 inasoma 3G very strong

Asante mkuu, kwakweli inapiga kazi poa sana,ziko clear sana
 
Back
Top Bottom