Samsung shows love to the iPhone! Meet The Galaxy Alpha

Samsung shows love to the iPhone! Meet The Galaxy Alpha

CYBERTEQ

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2012
Posts
7,341
Reaction score
4,074
Muda si mrefu kampuni ya Samsung imetangaza ingizo jipya katika smartphone za galaxy, Galaxy Alpha!
Ni simu nyembamba mno (6.7mm) na ina mwonekano mzuri sana. Tofauti na Galaxy S5 specifications zake ziko chini kidogo, kioo chake ni 720p, octa core processor na battery yake ni 1860mAh pekeyake!!! Simu itaanza kuuzwa September, na bei bado hujatangazwa.

Galaxy_Alpha____verge_super_wide.jpg

alfa.jpg
does it look familiar? ..Naona sasa Samsung wameanza kuhama kwenye maplastic, safi sana.
 
Samsung kashitukia kuwa design ni mojawapo ya vitu vilivyokuwa vinamuangusha kwenye soko, Kwa mwendo huu anaoanza nao utanifanya nianze kuzifikiria bidhaa za simu za Samsung
 
Hawa jamaa wanaiga sana. Duh. Kwanin wasistic na model fulani tu?? Hawataiweza apple kama wataishia kuiga tu
 
vita vyenu vya simu nyembamba nawaachia wenyewe, mimi mabox yangu yanitosha
 
hahahaa, mzee wa nokia! naona wametoa simu mpya kaka, lakini wamesahau kuweka tochi!

simu nyembamba kama hio unasacrifice
1.battery (simu ya ukubwa huo kuwa na 1860mah tena android hapana)
2. heat. ukicheza game kidogo tu inakuwa ya moto
 
simu nyembamba kama hio unasacrifice
1.battery (simu ya ukubwa huo kuwa na 1860mah tena android hapana)
2. heat. ukicheza game kidogo tu inakuwa ya moto

hahahaa, hebu niibie siri mkuu, unatumia simu gani vile?
 
Kuna kila dalili za kesi hapa..hii wameiga kabisa iphone
 
Hapo hakuna kitu mpango mzm iPhone bn nahiyo no kesi tiyari Lazima Apple waishitaki Samsung


Sent from my iPhone5✅using JamiiForums app✅
 
Hawa jamaa wanaiga sana. Duh. Kwanin wasistic na model fulani tu?? Hawataiweza apple kama wataishia kuiga tu
Ukiulizwa wameiga nini? Unaweza kutoa technical details based on patent rights? Alafu mbona watu hawaongei kuhusu Apple kuiga features kibao za Android na WhatsApp kwenda kwenye iOS 8? Na unavyosema hawawezi Apple? JIbu swali hili hapa:- Kama Samsung siyo tishio kwa Apple kwa nini kila siku Apple anamshitaki Samsung na badala ya Meizu (MX lineup) Huawei (p6, p7) ambazo zimefanana na iPhones completely.. Stop complaining people, keep up with market competition.. Kumbuka Apple kaiga vitu kibao kutoka Nokia na Motorola..
 
Back
Top Bottom