Samsung s22 Ultra vs iPhone 14 Pro Max


Kweli hapo ndio vita yake itakuwa inatisha japo
Apple na hizi features kama satellite emergency,crash detection ambazo makampuni mengine hayajawa na ubunifu kufikia innovation hii
Na pia dynamics island ya iphone 15 pro max itakuwa na maboresho ya hali ya juu zaidi
 
iOS wakitoa restrictions kama EU wanavyotaka hizi simu nitaanza kuzipenda tena.
Kwa sasa restrictions zao sizipendi. Natamani hiyo iOS itolewe restrictions

Ila sumsung ultra 23 customization yake inatisha sana shida yake android version updates zinachelewa sana tofauti na apple wana beta program
 

Itategemena na taste yako kwenye simu. Mimi natumia brand zote na kila brand ina advantage na disadvantage
 

Umesahau noise cancellation
 
Well its bot the first time apple wamepelekana mahakamani na serikali concerning privacy, dont know how it will turn out but somehow apple hawato risk their selling point

Inasemakana wanaweka kutumia type C lakini itakuwa imelimitiwa kabisa kwa chip ya ndani na sio software kwa hiyo ni kuchaji tu
 
Well its bot the first time apple wamepelekana mahakamani na serikali concerning privacy, dont know how it will turn out but somehow apple hawato risk their selling point
Anyway, one day I will try them hata kama zitaendelea kuwa na restrictions

Kama Apple atajaribu kufungua kesi mahakamani basi natamani ashindwe ili hizo restrictions zitolewe hata kama ni kwa EU version pekee, tutazitafuta hizohizo.
 
Inasemakana wanaweka kutumia type C lakini itakuwa imelimitiwa kabisa kwa chip ya ndani na sio software kwa hiyo ni kuchaji tu
Hivi ni kweli EU wanataka simu zije na removable batteries?
 
So far ubora wa iphone unabebwa na jin lake na kuwa ni bidhaa ya mmarekani ila kiukwel iphone ni simu ya kawaida hakun kitu ambacho kipo kweny iphone hakipo kweny samsung
Nakazia! Huo ndio ukweli.
 
Reactions: _ly
Hatushindanishi watu hapa mkuu, hukua na sababu yoyote ya kuwataja hao watu.😡😡😡😡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…