Samsung s20+5g haikubali software update kwa kutumia Mobile data ?

Samsung s20+5g haikubali software update kwa kutumia Mobile data ?

Sijatumia Samsung miaka kibao, tokea S7 Edge. Sijui nimemiss nini ila nikionaga Screens za izo simu nazitamani ila nikiwaa kununua naona hapana.

Zinashuka bei kwa kasi sana. Unaweza nunua leo S22 Ultra Mil 1.4 ila baada ya miezi 5 unaweza kuta zinauzwa Laki 7.

Same issue nimeiona kwa Google Pixel, unanunua leo Pixel 5 kwa Laki 5 ipe miezi 6 unakuta Laki 3.

iPhone anajitahidi kubaki na bei ile ile mfano sahivi iPhone 13 unakuta unaipata kwa Mil 1.4 wakati ni simu ya 2021.
Zinazoshuka thamani ni refurb, International model most of time hazishuki bei upesi.
 
Sijatumia Samsung miaka kibao, tokea S7 Edge. Sijui nimemiss nini ila nikionaga Screens za izo simu nazitamani ila nikiwaa kununua naona hapana.

Zinashuka bei kwa kasi sana. Unaweza nunua leo S22 Ultra Mil 1.4 ila baada ya miezi 5 unaweza kuta zinauzwa Laki 7.

Same issue nimeiona kwa Google Pixel, unanunua leo Pixel 5 kwa Laki 5 ipe miezi 6 unakuta Laki 3.

iPhone anajitahidi kubaki na bei ile ile mfano sahivi iPhone 13 unakuta unaipata kwa Mil 1.4 wakati ni simu ya 2021.

Hata hii 13 ukichukua leo kwa 1.4ml,miezi 5 baadae utauza chini ya milioni.

Kinachofanya uone inashuka taratibu ni kwa sababu ulinunua bei juu zaidi,hivyo hata ikishuka bado itakuwa na bei ya juu,fikiria mwaka mmoja baadae uje uuze 600k,utajiona umeuza kwa bei rafiki,lakini ni kwamba imeshuka pia sana tu.
 
Hata hii 13 ukichukua leo kwa 1.4ml,miezi 5 baadae utauza chini ya milioni.

Kinachofanya uone inashuka taratibu ni kwa sababu ulinunua bei juu zaidi,hivyo hata ikishuka bado itakuwa na bei ya juu,fikiria mwaka mmoja baadae uje uuze 600k,utajiona umeuza kwa bei rafiki,lakini ni kwamba imeshuka pia sana tu.
Upo sahihi mkuu. Ila bado atleast kidogo iPhone ina hold value. Mi sio iSheep na wala sina iPhone tokea 2021 nadhani. Natumia Pixel.

Tufanye mfano:
iPhone 11 ya mwaka 2019 base model (macho mawili) used ilio katika hali "nzuri" unaipata kwa Tsh 700k hadi 800k leo.

Mwaka huo huo Samsung Galaxy S10 ilitoka, sahivi unapata kwa Tsh ngapi? Haivuki Tsh 350k.

Ukikuta zinavyotoka huo mwaka, zote bei ni almost sawa.
 
Back
Top Bottom