Samsung note 3 for sale

yaser

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
1,361
Reaction score
299

Simu tajwa hapo juu naiuza kwa bei ya shilingi laki tano na nusu...maongez yapo, napatikana kwa dar kwa namba 0713806766
 
Ni ugeni wa biashara au?

Yaani kujua status ya hiyo simu unayouza tukupigie? weka full spec hapa kuna wengine hatujui hata note 3 ina internal memory Kiasi gani etc!

Nmetoa namba hapo km muhitaj just wasiliana na mm
Huyu Yaser hayuko serious...unataka kila mtu humu ndani akupigie simu ili kujua imetumika mudagani? Utapokea simu ngapi? utapigiwa simu kama mtu anaitaka na sio kwa kuuliza maswali..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…