project planner
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 1,170
- 1,560
wakuu natumaini ni wazima naoma mwenye kujua wapi nitapata Samsung m51 maana naona madukani hazipo hizi simu na bei yake ikoje
950,000/-wakuu natumaini ni wazima naoma mwenye kujua wapi nitapata Samsung m51 maana naona madukani hazipo hizi simu na bei yake ikoje
Simu za India na masoko maalum ukizikuta Tz ujue mtu tu ame import.wakuu natumaini ni wazima naoma mwenye kujua wapi nitapata Samsung m51 maana naona madukani hazipo hizi simu na bei yake ikoje
Naweza nikaipata wapi mkuu950,000/-
Ni waaminifu, huyo jamaa Ana physical address pale upanga, Sema bei Zake tu ujiandae kisaikolojia.Hivi hawana high life niwaaminifu kwenye maswala ya hela kutuma na kupokea simu mikoani nataka kuwatumia ila sijawahi kuwatumia hela ili nitumiwe simu