Samsung J2 Gold for sell

Nipo tabata ukitaka kweli tunaonana na unaiona simu yenyewe, sio ya wizi bwana simu ni mpya tu ya demu mmoja jirani yangu kuhusu lisiti sijamuuliza ila inaweza ikawepo ila sina uhakika.
Mm me na mwenye simu ni ke
Uliza swali lengine

Nimekusoma mkuu.

Simu nzuri, bei nzuri.

Sema usawa huu wa Magu ndo unasumbua, anyway ngoja tuone mpaka kesho.
 
Mwambie kuna mtu ana mia hamsin kama yupo tayar namba hyo 0675636863
Upo chini sana ongeza hela kama kweli unaitaka,
Ni kweli huwezi kuuza bei kama uliyonunulia dukani ila 330-200 kapunguza vya kutosha, ukitaka hiyo bei ya 150 ndio utajikuta unanunua simu ya wizi au mbovu kwa kutaka urahisi
 
Kama imeshindkana bhas mkuu ila najua mteja wa hyo bei kupata huwez hasa ikiwa cm ipo mikonon mwa mtu.....sema ww unataka cha juu... .
 
Kama imeshindkana bhas mkuu ila najua mteja wa hyo bei kupata huwez hasa ikiwa cm ipo mikonon mwa mtu.....sema ww unataka cha juu... .
Ww kama huna hela tulia, j2 iuzwe 150 j1 itauzwa sh ngap? ukitaka bei hizo nunua tecno au uhawei samsung huziwezi
Au ushazoea masimu ya wizi maana wao simu ya laki4 dukani wao wanauza hadi 150 sasa wamewazoesha vibaya
 
Poa hapa nina note 4 nilinunua kwa teja mwaka jana cema ujue katka maisha vitu haramu ndo vna dil kama una bisha bas utasubir kua tajir........we uza hyo bei ufanye mambo mengne.....
 
Poa hapa nina note 4 nilinunua kwa teja mwaka jana cema ujue katka maisha vitu haramu ndo vna dil kama una bisha bas utasubir kua tajir........we uza hyo bei ufanye mambo mengne.....
Mbona hakuna tatizo mkuu, shida nini hadi uongee maneno yote hayo? mbona kushindwana bei kwenye biashara ni vitu vya kawaida
Kama ushazoea kununua simu kwa mateja mm sio teja, umesema una 150 tumeshindwana basi
Tatzo ww n dalal ndo mana.....
 
Mngese kweli nimekulazimisha kununua? Mpuuzi mkubwa wewe ukiwa tapeli unahisi wote matapeli.

Linamo
 
Halafu uwe na heshima

Linamo

Linamo nisamehe, was just kidding.

BTW naomba nitoe advise, JF ni jukwaa kubwa linalojitosheleza, tumekuwa tukilalamika juu ya watu kuleta matangazo nusu nusu halafu wanasema twende PM, whatsapp au piga namba flan ili upate details zaidi.

Na malalamiko haya yanakuja na uzoefu kwa sababu utapeli mwingi unaanza na njia hizi, kama umeamua kuweka tangazo hapa kwa nini usiweke bei na picha?
 
Reactions: MC7
Mngese kweli nimekulazimisha kununua? Mpuuzi mkubwa wewe ukiwa tapeli unahisi wote matapeli.

Linamo

Madam please, punguza munkari, usiwe kama umeijua JF leo, una dilute hata umuhimu wa tangazo lako kwa kudili na confrontations zaidi ya kutangaza biashara yako.
 
Wakati naweka hilo tangazo sikuwa na access ya kuweka hizo picha. Na nimeshaziweka hizo habari za utapeli zimekujaje. Fatilia thread zangu nyingi humu nimeshauza vitu vingi Sana na wala hutaona malalamiko.

Linamo
 
Mngese kweli nimekulazimisha kununua? Mpuuzi mkubwa wewe ukiwa tapeli unahisi wote matapeli.

Linamo
Watu wana mambo ya kijinga sana, kuna mwengine analazimisha bei anayotaka yeye kisa kazoea kununua masimu ya wizi
Sasa mtu simu kapora ataacha kuuza 150?
Sasa ngoja siku wammue mtu wachukue simu yake alafu ukamatwe nayo ndio utajua madhara ya kununua simu kwa mateja
 
Madam please, punguza munkari, usiwe kama umeijua JF leo, una dilute hata umuhimu wa tangazo lako kwa kudili na confrontations zaidi ya kutangaza biashara yako.
Tatizo la Jf wengi mnajifanya wajuaji kumbe ni zero brain.

Linamo
 
Hawajielewi. Simu ya laki 3 dukani anataka auziwe laki moja na nusu halafu analazimisha. Wakiuziwa za wizi ndo watapata akili.

Linamo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…