Samsung hizi ni tabu tupu

Samsung hizi ni tabu tupu

Mzurulaji

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2021
Posts
292
Reaction score
691
Msaada Simu yangu Samsung Grand prime pro.
Ukiiwasha kama iko asilimi chini ya 70% haiwaki bila kuiweka kwenye charge ndipo uiwashe. Na hata ikikosea umebonyeza batani ya kuzima kwa kutaka kuiweka Lock haiwaki bila kuweka kwenye charge ndipo itadisplay. Ila ikiwa asilimia 100% -70% unaitumia vizuri bila shida.
Tatizo nini wakuu???
 
Msaada Simu yangu Samsung Grand prime pro.
Ukiiwasha kama iko asilimi chini ya 70% haiwaki bila kuiweka kwenye charge ndipo uiwashe. Na hata ikikosea umebonyeza batani ya kuzima kwa kutaka kuiweka Lock haiwaki bila kuweka kwenye charge ndipo itadisplay. Ila ikiwa asilimia 100% -70% unaitumia vizuri bila shida.
Tatizo nini wakuu???
Betri imechoka badilisha mkuu
 
Msaada Simu yangu Samsung Grand prime pro.
Ukiiwasha kama iko asilimi chini ya 70% haiwaki bila kuiweka kwenye charge ndipo uiwashe. Na hata ikikosea umebonyeza batani ya kuzima kwa kutaka kuiweka Lock haiwaki bila kuweka kwenye charge ndipo itadisplay. Ila ikiwa asilimia 100% -70% unaitumia vizuri bila shida.
Tatizo nini wakuu???
Samsung hazikai na moto Kwa muda mrefu lakini siyo Kwa namna unayosema yamkini hiyo ndo zile Samsung made in Korea

Samsung made in Vietnam ndo the best. Mwaka wa kumi sasa nimetumia Samsung pekee. na hii A3 ya sasa ninayo toka 2017 bila kutoa battery Wala shida yoyote
 
Why uteseke kutumia simu kimeo kisa una ringia brand?

Nunua simu mpya ama kama huna pesa kanunue infinix hot8-10 then hutojutia kuhusu chaji wala hayo matatizo uyaonayo kwenye iyo Samsung yako ya mchongo.

Tafuta pesa braza Samsung sio mbovu..izo mtumiazo ni jamii ya itel mchangamko wenye jina na brand ya samsung.

Kama hujui watu wa Asia hasa Chinese, Korean,indian wanapenda sana biashara za ujanja ujanja ndiomaana wanawaletea masimu mabovu ambayo ni copy ya simu nzuri lkn hawamaanish kuwa hawana simu OG, hiz original ni special kwa wenye uwezo tu, nyie wengine endeleeni kutumia hayo mabovu
 
Msaada Simu yangu Samsung Grand prime pro.
Ukiiwasha kama iko asilimi chini ya 70% haiwaki bila kuiweka kwenye charge ndipo uiwashe. Na hata ikikosea umebonyeza batani ya kuzima kwa kutaka kuiweka Lock haiwaki bila kuweka kwenye charge ndipo itadisplay. Ila ikiwa asilimia 100% -70% unaitumia vizuri bila shida.
Tatizo nini wakuu???
Hilo toleo bovu kinyama
 
Msaada Simu yangu Samsung Grand prime pro.
Ukiiwasha kama iko asilimi chini ya 70% haiwaki bila kuiweka kwenye charge ndipo uiwashe. Na hata ikikosea umebonyeza batani ya kuzima kwa kutaka kuiweka Lock haiwaki bila kuweka kwenye charge ndipo itadisplay. Ila ikiwa asilimia 100% -70% unaitumia vizuri bila shida.
Tatizo nini wakuu???
Shida itakuwa kwenye screen yaani Kioo Kitakuwa kinashida mkuu Kabadilishe
 
Why uteseke kutumia simu kimeo kisa una ringia brand?

Nunua simu mpya ama kama huna pesa kanunue infinix hot8-10 then hutojutia kuhusu chaji wala hayo matatizo uyaonayo kwenye iyo Samsung yako ya mchongo.

Tafuta pesa braza Samsung sio mbovu..izo mtumiazo ni jamii ya itel mchangamko wenye jina na brand ya samsung.

Kama hujui watu wa Asia hasa Chinese, Korean,indian wanapenda sana biashara za ujanja ujanja ndiomaana wanawaletea masimu mabovu ambayo ni copy ya simu nzuri lkn hawamaanish kuwa hawana simu OG, hiz original ni special kwa wenye uwezo tu, nyie wengine endeleeni kutumia hayo mabovu
Unachekesha kwel ,sasa infinix ni simu
 
kwa sasa samsung nyingi zilizoanzia 2020 zipo vzr upande wa battery lkn sio wkt uliopita.
 
Msaada Simu yangu Samsung Grand prime pro.
Ukiiwasha kama iko asilimi chini ya 70% haiwaki bila kuiweka kwenye charge ndipo uiwashe. Na hata ikikosea umebonyeza batani ya kuzima kwa kutaka kuiweka Lock haiwaki bila kuweka kwenye charge ndipo itadisplay. Ila ikiwa asilimia 100% -70% unaitumia vizuri bila shida.
Tatizo nini wakuu???
Hiyo simu niliwahi kutumia miaka ya zamani storage 8gb ram 2 ilinitesa sana nikaamua niigawe buree
 
Nenda kwenye maduka ya sumsung Badilisha betry..betry yake nzuri inacheza kuanzia 25k-35k kulingana na sehemu ulipo
 
Back
Top Bottom