Samsung Galaxy S9 special thread

Aperture unaiweza kuibadilisha ni jicho la binadamu ambapo iris yake hutanuka wakati wa giza na husinyaa kwenye mwanga mkali ili kuregulate kiasi cha mwanga
 
Samsung Ni High End Nlinunuliwa Na Kakangu Humu Baraka8 china Mwaka 2014 juzi dogo kaidumbukiza kwa poti la mikojo,haijasumbua wala kufunguliwa ilintoka milion ila kihalali,nkipata pesa nitanunua ila sasa nokia torch inanihusu
 
Samsung Ni High End Nlinunuliwa Na Kakangu Humu Baraka8 china Mwaka 2014 juzi dogo kaidumbukiza kwa poti la mikojo,haijasumbua wala kufunguliwa ilintoka milion ila kihalali,nkipata pesa nitanunua ila sasa nokia torch inanihusu
Samsung simu poa sana.... njoo nikuuzie S8 mkuu bei ya jioni
 
Ndio mkuu.... huwa naenda na wakati!! Kila flagship model ya Samsung huwa nanunua S series zote nimetumia na sasa ninayo S8 na nasubiria S9
Mkuu bila shaka sasa hivi upo na S23

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…