Samsung galaxy s7 inauzwa...

Samsung galaxy s7 inauzwa...

Acha kutia watu woga ili kutangaza biashara yako.
Kuna watu wanauza vitu kwa sababu wanashida. Mtaani tunaita "Kubwaga"
Juzi nimeuziwa PS4 zima na padi zake mbili full limekamilika kwa laki tatu na nusu.
Usiseme ikatae sema chini ya hapo ikague
Nibwagie hiyo PS4 mwana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom