black chinese
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 1,148
- 1,229
- Thread starter
- #21
Battery la s7 limeboreshwa ukilinganisha na la s6... ndo maana hata bei yake inatisha.. ina 3000mAh wakati s6 ina 2600mAh.Simu za Samsung ni nzuri Sana Lkn tatizo ni chaji tuu