Wakuu nawezaje ku-spot fake samsung galaxy mini?
kesho kuna jamaa angu anataka kunuuzia sasa nimeona sio mbaya kupata hints kama naweza kutambua kwa haraka kama ni fake au lah!
nimejaribu kugoogle lakini zijapata useful points!
Thanks to all JF IT team.
touch yake ipo fresh sana,ingia google play ujaribu kudownload app yoyote lazima kuwe na apps nyingi sana,internal memory ni around 180MB...wadau wengine wataongezea...
mh! Soma specs zake af compare! V2 muhmu kugundua kama n fake n kama camera, then touch yake ni capacitive.pia ukiingia kudownload appz kama opera ktka homepage yao huwa wana detect aina ya simu. Ila ktka androids huwa wanaandka jna la os pekee bila model. I hope umenipata
touch yake ipo fresh sana,ingia google play ujaribu kudownload app yoyote lazima kuwe na apps nyingi sana,internal memory ni around 180MB...wadau wengine wataongezea...
mh! Soma specs zake af compare! V2 muhmu kugundua kama n fake n kama camera, then touch yake ni capacitive.pia ukiingia kudownload appz kama opera ktka homepage yao huwa wana detect aina ya simu. Ila ktka androids huwa wanaandka jna la os pekee bila model. I hope umenipata
Niliishaitumia ipo fresh kamera ya 3.15MP,Inatoa picha clear sana,Nadhani unazungumzia G5570 galaxy mini,Original ni original tu,hata ukiiona utagundua tu,Sijui unazungumzia fake zipi,hakuna fake zaidi ya zile za kichina.Thanks
ni nyepesi kweli mkuu specs nyingine naona wadau wanaendelea kukwambia ila sijajua kama kuna mchina...cheki pia settings then nenda hadi chini utaona about phone then soma android version...
ni nyepesi kweli mkuu specs nyingine naona wadau wanaendelea kukwambia ila sijajua kama kuna mchina...cheki pia settings then nenda hadi chini utaona about phone then soma android version...
michina yake ipo. Ila utaigundua tu. N lain 2, af haina capacitive touch. Pia ukija ndan haina google maps, latitude. Na kamera yake ni mbaya sanaa. Na ukienda kwenye storage lazma utakuta juu phone chni memo. Kwenye 4n utakuta 50 kb. Hapo ndo utamjua mchina
Niliishaitumia ipo fresh kamera ya 3.15MP,Inatoa picha clear sana,Nadhani unazungumzia G5570 galaxy mini,Original ni original tu,hata ukiiona utagundua tu,Sijui unazungumzia fake zipi,hakuna fake zaidi ya zile za kichina.Thanks
ni nyepesi kweli mkuu specs nyingine naona wadau wanaendelea kukwambia ila sijajua kama kuna mchina...cheki pia settings then nenda hadi chini utaona about phone then soma android version...
michina yake ipo. Ila utaigundua tu. N lain 2, af haina capacitive touch. Pia ukija ndan haina google maps, latitude. Na kamera yake ni mbaya sanaa. Na ukienda kwenye storage lazma utakuta juu phone chni memo. Kwenye 4n utakuta 50 kb. Hapo ndo utamjua mchina