A teller
JF-Expert Member
- Feb 6, 2018
- 531
- 724
Habarini wakuu
wakuu msaada tafadhali..
nina simu ya samsung j7 max nimeinunua hivi karibuni inanisumbua hatari, hadi sasa ninaiinstoll wasap inagoma inaandika watsap error, nimejaribu kuistore ili ianze upya lakin baada ya muda tatizo ni lile lile linajirudia
wakuu mwenye kujua mambo ya software naomba anisaidia kunipa ushauri kwani siwezi kwenda dukani tena na risiti nimeimiss place
NB. simu haijajaa
asanteni...
wakuu msaada tafadhali..
nina simu ya samsung j7 max nimeinunua hivi karibuni inanisumbua hatari, hadi sasa ninaiinstoll wasap inagoma inaandika watsap error, nimejaribu kuistore ili ianze upya lakin baada ya muda tatizo ni lile lile linajirudia
wakuu mwenye kujua mambo ya software naomba anisaidia kunipa ushauri kwani siwezi kwenda dukani tena na risiti nimeimiss place
NB. simu haijajaa
asanteni...