codifier
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 438
- 872
Wakuu naomba ushauri ipi simu nzuri zaidi kati ya hizo, kwa kuwa nipo kwenye mpango wa kununua simu yenye specifications nzuri
High processing power
Ram at least 4gb or 6gb
Memory at least 128gb
Simu hizo nimeona kupitia link hii ya Tigo kwa bei tsh. 600,000 hadi 620,000
Pia nina iPhone 7, 128gb Iko fresh kabisa nimetumia miezi 2 tu na bado ipo na sealed yake naiuza tsh. 400,000 tu kama utaipenda Njoo pm.
Nataka kuamia kwenye Android
Ahsante na muwe jp njema
Karibuni wakuu
High processing power
Ram at least 4gb or 6gb
Memory at least 128gb
Simu hizo nimeona kupitia link hii ya Tigo kwa bei tsh. 600,000 hadi 620,000
Pia nina iPhone 7, 128gb Iko fresh kabisa nimetumia miezi 2 tu na bado ipo na sealed yake naiuza tsh. 400,000 tu kama utaipenda Njoo pm.
Nataka kuamia kwenye Android
Ahsante na muwe jp njema
Karibuni wakuu