Bei ni 350. Rang ni silver. Ipo full box na usb type C . Picha sasa labda kuomba simu ipigwe ndio ipostiwe. maana ndio hii hii. Naitumia Haina kasoro yoyote .Weka bei na picha halisi.
Kama simu unaitumia kwanini kwenye uzi wako umesema ni Brand new?Bei ni 350. Rang ni silver. Ipo full box na usb type C . Picha sasa labda kuomba simu ipigwe ndio ipostiwe. maana ndio hii hii.Naitumia Haina kasoro yoyote .
Watanzania kulaliana ndio zetu. Simu ina week toka inunuliwe. Sawa na umeambiwa ni mpya. Au unaziamini zile simu used na zimeshafunguliwa na mafundi. Simu ina week unaitia kasoro. Haya ubarikiwe.nyie hamkosekaniKama simu unaitumia kwanini kwenye uzi wako umesema ni Brand new?
Au hujui maana ya brand new?
Brand new ni kitu ambacho hakijatumika,completely new,not used before,unused,
Kitu hata ukikitumia kwa siku moja tu basi kinakosa sifa ya kuitwa brand new,
Kila la kheri upate mteja wa kununua hiyo simu.
Hujaelewa point yangu,M
Watanzania kulaliana ndio zetu. Simu ina week toka inunuliwe. Sawa na umeambiwa ni mpya. Au unaziamini zile simu used na zimeshafunguliwa na mafundi. Simu ina week unaitia kasoro. Haya ubarikiwe.nyie hamkosekani