Laki 8 usedYap Naitaji iyo Nikon D3200 na lens yake
Inategemea,ni pmVip iyo bei ni fixed au ni tunaongea kaka
Uko pande zipiMmmh kaka mbona bei yako kubwa sana
Nilitaka kusema hata mie aisee maana long time nimetembea sana na camera kiunoni kwa ajili ya kazi na camera kama hiyo ilikuwa inafika mpaka laki 3 ama 4 lakini siku hizi mmhh ni balaa kupata mteja...ila wadau wapo watakujaSikukatishi tamaa mkuu just wazo tu,biashara za camera as camera(domestic ) zimekuwa ngumu nowadays kwa ajili ya ujio wa simu za mkononi zenye camera .
Uwezo simu wa kuzi modify na ku share picha bila kuhitaji computer na kukaa na charge muda mrefu ukilinganisha na camera ndio umeua kbs soko la camera na biashara za picha mitaani ,kila mtu ana jitahidi amiliki simu yenye camera nzuri ili I save kwa mawasiliano na fun.
Na sio tu upande wa camera, vifaa vya music km discman ,Walkman au Ipod soko limeshuka kwa ajili ya hz simu .
Ushauri wangu kwa hiyo offer ya 100k chukua camera kwa enzi hizi sio deal.
Na mimi niko Bunju,njoo tuonane kwa MogaNiko bunju mkuu
Hiyo ni bei ya nikon d3300 pamoja na lens. Mshkaji kanunua hivi juzi tuLaki 8 used
Nielekeze niende kwa hiyo beiHiyo ni bei ya nikon d3300 pamoja na lens. Mshkaji kanunua hivi juzi tu
Unamaanisha nikon?nikon D3200 bila lens laki 7 na yenye laki 8
KAMA UNAHTAJI NICHEKI 0738 353339 NIKUPE YANGU KWA BEI HIYO IKO HIVYO HIVYO KAMA YA MDAUUkifika 80 tufanye biznes mkuu
Nahitaji hiyo cameraUnamaanisha nikon?nikon D3200 bila lens laki 7 na yenye laki 8
Kwa wanaohitaji camera za Canon aina yeyote anicheck na lens za aina yeyote