Samsung camera inauzwa

Samsung camera inauzwa

Camera ipo bado. Kam unahitaji nambie njkuletee leo. Namba ya simu ipo hapo juu
 
Canera bado haijapata mteja. Kama una hela si ya kuacha hii
 
Sikukatishi tamaa mkuu just wazo tu,biashara za camera as camera(domestic ) zimekuwa ngumu nowadays kwa ajili ya ujio wa simu za mkononi zenye camera .
Uwezo simu wa kuzi modify na ku share picha bila kuhitaji computer na kukaa na charge muda mrefu ukilinganisha na camera ndio umeua kbs soko la camera na biashara za picha mitaani ,kila mtu ana jitahidi amiliki simu yenye camera nzuri ili I save kwa mawasiliano na fun.
Na sio tu upande wa camera, vifaa vya music km discman ,Walkman au Ipod soko limeshuka kwa ajili ya hz simu .
Ushauri wangu kwa hiyo offer ya 100k chukua camera kwa enzi hizi sio deal.
 
Sikukatishi tamaa mkuu just wazo tu,biashara za camera as camera(domestic ) zimekuwa ngumu nowadays kwa ajili ya ujio wa simu za mkononi zenye camera .
Uwezo simu wa kuzi modify na ku share picha bila kuhitaji computer na kukaa na charge muda mrefu ukilinganisha na camera ndio umeua kbs soko la camera na biashara za picha mitaani ,kila mtu ana jitahidi amiliki simu yenye camera nzuri ili I save kwa mawasiliano na fun.
Na sio tu upande wa camera, vifaa vya music km discman ,Walkman au Ipod soko limeshuka kwa ajili ya hz simu .
Ushauri wangu kwa hiyo offer ya 100k chukua camera kwa enzi hizi sio deal.
Kweli kabisa mkuu. Ila biashara kwa hqpa Jf ni changqmoto. Hata anayetoa offer ya 100K ukimwendea PM hayuko serious.
 
Kweli kabisa mkuu. Ila biashara kwa hqpa Jf ni changqmoto. Hata anayetoa offer ya 100K ukimwendea PM hayuko serious.
Ooh kumbe hawako serious nilidhani ni wewe ndio unakataa hiyo pesa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom