SAMSUNG ACCOUNT REMOVER BY IMEI

SAMSUNG ACCOUNT REMOVER BY IMEI

Na tambua simu.inapokuwa na samsung account mwenye account yake anauwezo wa kusoma.meseji zote kuona.nambati zako zote (contacs) anauwezo wa kuifunga usitumie tena anauwezo wa kuangalia mpaka document zako zote kwenye simu akiwa popote duniani
Anawezaje fanya yote hayo mkuu
 
Huo ni wizi unahamasishwa. kwa nini uwe na simu yenye account ya mtu kama umeinunua kihalali.?? Sikufichi ndugu yangu wapaswa kuchukuliwa hatua kwa hicho unachokifanya. Tunaibiwa simu kila kukicha unasema kama simu imetoka nje ikiwa na account ya mtu how yani?
 
Usipoitwa ukakutana na screenshots za hili bandiko lako mezani sijui. TCRA ni juzi tu wametangaza kupiga marufuku kuflash simu wewe umeenda mbali zaidi kufuta sumsung account
 
Back
Top Bottom