Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are Wrong again!!! aaaahhhh!!!
Kwa Mujibu wa Kindimbajuu na kwa mujibu wa Big, soma hapo chini
ni hivi, hao wafanyakazi wa hapo wanapewa nafasi ya kununua vitu kwa punguzo zaidi ya 50%, lakini mshahara wao ni mdogo sana , hawawezi kununua. sasa wanachokifanya wanaposema wanakutolea kwa laki nne na nusu,wananunua kama wao, ni kuwa wanatoa na risiti, ambayo huyo anaekutokea ndo hupewa jina lake- ni kama yeye ndo ananunua, hivyo anapata hiyo punguzo. ni shida zina wafanya wafanye hivyo, kwani wao posho zao ni kama yangu - mambo ya kibakuli
Hata Mimi nasubiri Maelekezo ya sehemu lilipo hilo duka la Freedom Electronics lakini naona Kiiiiiiiimyaaaaa!!!Wako wapi Freedom electronics?
Hata Mimi nasubiri Maelekezo ya sehemu lilipo hilo duka la Freedom Electronics lakini naona Kiiiiiiiimyaaaaa!!!
hebu nipe model number yake mkuu
Mkuu huko freedom ni wapi asee??Mkuu hiyo kitu freedom electronics wanauza 700.000 mpya na 3years warranty.
Nadhani hili duka Freedom Electronics lipo along Samora Avenue ....karibu na JM Mall, opposite na tawi fulani la NBC bank. Pia wana duka jingine kama nakumbuka along Zanaki street kwenye kona ya kuelekea Kisutu Sec School na ule mtaa wenye misikiti ya wahindi.
Mkuu majibu hapo juu kwenye bluu kutoka kwa deny_allMkuu huko freedom ni wapi asee??
Mkuu majibu hapo juu kwenye bluu kutoka kwa deny_all
Asante sana Mkuu kwa Maelekezo,Cheers!!Nadhani hili duka Freedom Electronics lipo along Samora Avenue ....karibu na JM Mall, opposite na tawi fulani la NBC bank. Pia wana duka jingine kama nakumbuka along Zanaki street kwenye kona ya kuelekea Kisutu Sec School na ule mtaa wenye misikiti ya wahindi.