Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Ulaghai kisiasa ni nguzo dhaifu sana katika mazingira ya siasa endelevu.
CHADEMA kilianzishwa kilaghai na kwa maana hiyo lazima uwe mlaghai kuweza kuwa kiongozi endelevu ndani yake, ndiyo maana wale walaghai ndiyo wanapandishwa vyeo na wasio walaghai wanatapata msukosuko mpaka uongozi wao utakoma.
Samson Mwigamba uzalendo ulimshinda ndiyo maana akaamua kutoa sauti kwa watanzania kuhusu matumizi mabaya ya ruzuku na vyenzo zingine zitokanazo na pesa za wananchi ambazo zinatumiwa isivyostahili kikanuni na kikatiba na baadhi ya genge la watu wanaokifanya chama kama personal investment lakini kibaya kabisa watu waliojimilisha chama hawakupenda mtu wa Magu kuwa kiongozi wa eneo lao Arusha.
CHADEMA siyo chama cha siasa ndani ya demokrasia kwa manufaa ya demokrasia bali ni private-owned enterprise through political project.
Chama kilichojengwa kwa misingi ya kilaghai hata uendeshaji wake utakuwa niwa kilaghai.
Waliojimilikisha chama baada ya kugundua kuwa hawana uwezo wa kushinda katika chaguzi za ndani wameamua kuahirisha chaguzi na sasa wanakuja na sababu wakisema kwa mujibu wa katiba, uchaguzi unatakiwa kufanyika 2014 kama vile hawakufahamu wakati wanasema uchaguzi utafanyika 2013.
Hawawezi kushinda katika mapambano yao ya kilaghai kwa sababu ulaghai siku zake ni arobaini na kikubwa zaidi, Watanzania wanafahamu ulaghai wao.
Waacheni wafu wazikane.
Mwigamba aende ccm pasipo na ubaguzi akapambane na ukoo wa mwinyi,nyerere,kawawa,karume,nnauye,makamba,malecela,kikwete
Sumu ya CHADEMA ni mtu anayetaka UWAZI.
haswaaaa!! wanachapa kazi, kuanzia mama ntilie, muuza karanga za kapu, muuza pakti la sigara, muuza glasi ya maji mpaka wamiliki wa kampuni kubwa za kibiashara, mpaka ma lecturers wa vyuo vikuu. wanatafta fweza kwa kuchapa kaz, sasa wee kaa hapa tu unakenua mapengo kaa zoba uone feza itakujia vip. wenzako hao kama ni pesa walianza kuijua na kuitafuta hata kabla ya uhuru. sasa wewe unaibuka leo unataka uuze sembe haraka haraka eti ili nawe uwafikie...kuna stage zake baba, maendeleo ni processhapo hakuna afadhali mkuu, hiyo jamii inasifa inayofahamika vizuri inapokuja kwenye maswala ya fedha
kuna kitu humu jf watu wengi hawakijui. Hawa vijana wsa ccm wanaopost mambo yanayohusu chadema kila siku na kila saa ni walinzi wa ofisi za ccm ( Dar na Dom). Wanapokezana kupost sambamba na shift zao za ulinzi, hata mambo wanayoyaandika ni yaleyale kila siku na karibu kila thread. Na hayo ni maelekezo ya kitengo cha propaganda cha chama. Hakuna sababu ya kuhangaika nao!!!!
Sumu ya CHADEMA ni mtu anayetaka UWAZI.
hivyo vidole viwili kumbe maana yake ni CHADEMA for MBOWE & SLAA?
bila shaka kwa sababu wao pia ni wanadamu ni wazi huwa wanakosea pia, tofauti ni kwamba wao HAWASALITI na hawahongeki (kirahisi). ukishakuwa msaliti CDM watakunyonya mav. tu, mchukueni huko mkauze naye sembe. umeshaambiwa tuna hasira na kina Ritz halafu wewe na huyo mwigamba wako mnatuletea fyoka??!! no wonder he is named Mwi_GAMBAHivi nani ameshawahi kusikia mchaga yeyote ndani ya Chadema kafukuzwa au amepewa adhabu yeyote na chama au hawakosei hawa jamaa?
Eti mtuchangulie Msaliti Zitto uenyekiti, hatufanyi uchaguzi hadi 2016, kama hamtaki muondoke tu. Hii mmefail tenaMwenyekiti wangu wa CDM Arusha alikua sahihi kabisa kutupa a b c za ulaghai unaoendelea ktk chama chetu. Kama vidole viwili vilimaanisha Mbowe na Slaa basi wamegonga mwamba. Vipindi vyao viwili vimeisha. Watupishe wengine nasi tuonyeshe uwezo wetu kwenye nyadhifa hizo. Kama Kamanda Slaa kashazeeka na kufubaa....sio mwili tu bali na akili pia. Peopleeeeeeeeeeeeeeeee
Hakuna leta hadithi ingineHivi nani ameshawahi kusikia mchaga yeyote ndani ya Chadema kafukuzwa au amepewa adhabu yeyote na chama au hawakosei hawa jamaa?
Pointi Magambani kwetu sisi ni PumbaNdio maana yake kila mtu hujua Hilo! Mwigamba Kanena point lakini CDM hawakubali ukweli! CDM jifunzeni kukosoa na kukosoana!