Kimsingi kama nchi inatakiwa imeundeleze huyu awe kocha wa timu ya Taifa.Kwa sasa aende uarabuni kumalizia soka, kisha asomee ukocha na mwisho arejee Tanzania kufundisha. Miaka mitano ajayo tumuone akiwa kocha wa timu kubwa hapa Tanzania.
Ajifunze kwa akina Juma Mgunda, Zakaria Kinanda, Abdallah Kibadeni, na sasa kwa Juma Kaseja, Selemani Matola, Mexime nk.
Hayo madini nampa, akafanyie kazi.
Mtu aliyewahi kucheza Aston Villa na kulipwa zaidi ya milioni 70 Tshs kwa wiki, serikali ya Tanzania imuendeleze tena!?, haya mawazo huwa mnayatoa wapi!?..Kimsingi kama nchi inatakiwa imeundeleze huyu awe kocha wa timu ya Taifa.
Huyu dogo alipotemwa Aston Villa tu ndipo career yake ikaisha moja kwa moja, baba yake alimponza sana kwa kuropoka hovyo kwenye media akidhani anamsaidia mwanawe.Klabu ya paok imethibitisha kuachana na Samatta siku ya janaView attachment 3385180
Wachezaji wastaafu wengi sio makocha wazuriKimsingi kama nchi inatakiwa imeundeleze huyu awe kocha wa timu ya Taifa.
Ukocha ni kipaji na utayari/shaukuKimsingi kama nchi inatakiwa imeundeleze huyu awe kocha wa timu ya Taifa.
Samatha anasimamia Academy ambayo inapatikana South Africa na muda mwingi wa likizo huwa anakuwa SA.Kwa sasa aende uarabuni kumalizia soka, kisha asomee ukocha na mwisho arejee Tanzania kufundisha. Miaka mitano ajayo tumuone akiwa kocha wa timu kubwa hapa Tanzania.
Ajifunze kwa akina Juma Mgunda, Zakaria Kinanda, Abdallah Kibadeni, na sasa kwa Juma Kaseja, Selemani Matola, Mexime nk.
Hayo madini nampa, akafanyie kazi.
Wewe unatosha kumuendekezaKimsingi kama nchi inatakiwa imeundeleze huyu awe kocha wa timu ya Taifa.
Guardiola?Klopp?Cholo?Zidane?Ancelotti?....Fact ni kinyume chake.Makocha wengi wazuri ni wacheza mpira wa zamaniWachezaji wastaafu wengi sio makocha wazuri
Wenzetu wastaarabu sanaKlabu ya paok imethibitisha kuachana na Samatta siku ya janaView attachment 3385180
Ukocha na kucheza ni vitu viwili tofauti.Kimsingi kama nchi inatakiwa imeundeleze huyu awe kocha wa timu ya Taifa.
Hana degree...si unajua sheria mpya ya KariaNamuombea apate timu nyingine, ila akiamua kurudi home. Asiwe kocha natamani aje kuwa Raisi wa TFF ataitendea haki. Amecheza mpira wa ndani, wa nje amejifunza vingi, vitatusaidia.
Huyu hana njaa ya kucheza timu za bongoAende uarabu akapige pesa miaka 3 atakua na 40 masna now 37 then aje Bongo hasa pale Vyurani kutafuna pesa ya GSM kabla ya kurundika daruga zake.