SAMMATA apewa mkono WA kwaheri

SAMMATA apewa mkono WA kwaheri

kegululu

Member
Joined
May 11, 2025
Posts
29
Reaction score
49
Klabu ya paok imethibitisha kuachana na Samatta siku ya jana
IMG_20250627_031733.jpg
 
Kwa sasa aende uarabuni kumalizia soka, kisha asomee ukocha na mwisho arejee Tanzania kufundisha. Miaka mitano ajayo tumuone akiwa kocha wa timu kubwa hapa Tanzania.
Ajifunze kwa akina Juma Mgunda, Zakaria Kinanda, Abdallah Kibadeni, na sasa kwa Juma Kaseja, Selemani Matola, Mexime nk.

Hayo madini nampa, akafanyie kazi.
 
Kwa sasa aende uarabuni kumalizia soka, kisha asomee ukocha na mwisho arejee Tanzania kufundisha. Miaka mitano ajayo tumuone akiwa kocha wa timu kubwa hapa Tanzania.
Ajifunze kwa akina Juma Mgunda, Zakaria Kinanda, Abdallah Kibadeni, na sasa kwa Juma Kaseja, Selemani Matola, Mexime nk.

Hayo madini nampa, akafanyie kazi.
Kimsingi kama nchi inatakiwa imeundeleze huyu awe kocha wa timu ya Taifa.
 
Kwa sasa aende uarabuni kumalizia soka, kisha asomee ukocha na mwisho arejee Tanzania kufundisha. Miaka mitano ajayo tumuone akiwa kocha wa timu kubwa hapa Tanzania.
Ajifunze kwa akina Juma Mgunda, Zakaria Kinanda, Abdallah Kibadeni, na sasa kwa Juma Kaseja, Selemani Matola, Mexime nk.

Hayo madini nampa, akafanyie kazi.
Samatha anasimamia Academy ambayo inapatikana South Africa na muda mwingi wa likizo huwa anakuwa SA.

Kwahiyo the guy is very genius usitegemee kuja kuwa Kama hao akina kaseja n.k

Akimaliza Maisha ya Mpira ataendeleza Maisha katika sehemu zinaoeleweka na sio kirudi nyuma
 
Back
Top Bottom