GE2025 Samia: Wanawasaidia wagombea wa vyama pinzani ili kuikomoa CCM

GE2025 Samia: Wanawasaidia wagombea wa vyama pinzani ili kuikomoa CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Kuna watu wanawasaidia wagombea wa vyama vya upinzani ili kuikomoa CCM

Dkt. Samia ameyasema hayo Musoma Mjini Mkoani Mara kwenye mwendelezo wa Mikutano yake ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025

Dkt. Samia amesema kuwa watu hao wanachichea na kuwasaidia wagombea hao ili kuikomoa CCM lakini katika kuhakikisha Hilo CCM hawezi kuikomoa ambapo Dkt. Samia amewaomba Watanzania kujitokeza Kwa wingi octo 29,2025 wapige kura.
 
Back
Top Bottom