Samia unataka kuridhiana na nani wakati maelfu ya vijana wa Tanganyika wameuwa wasio na hatia yoyote?

na wasipoangalia hata wengine watawafuata
 
Chadema msithubutu kujihusisha kwenye hayo maridhiano acheni wakutane na wananchi USO Kwa uso mkijiweka tu katika hayo maridhiano mtawasafisha itakuwa ni sawa na kushiriki chaguzi zao haramu za kisisiem.
 
Ameua vijana wasio na hatia ,amewateka kina Polepole na Mdude halafu anasema anataka maridhiano? Where? Which? When? Who? Why? How?
 
tuzike nguo afu tusahau?asee ilikuwa zamani...kisasi kitalipwa tu
D9 hakutoka mtu, D25 kimya..WaTz ndo ishaisha hiyo. Wanalia myoni tu..action bado sisi hatuiwezi na sababu hatujawahi kuwa hivi..mtu akiona maiti ya mtu anaogopa na kurudi nyuma.Mi nishaona hii tarehe 29
 
Kwenye maridhiano raia tutataka mengi...
Haki, kutokomeza rushwa, nepotism, amani, utulivu, keki ya taifa igawanywe kiusawa, vyombo vya habari visibanwe, mitandao ifunguliwe...la mwisho katiba, hili halina ubishi, tena katiba ya serikali 3...
Kuwabijishwa waliouwa raia wenzetu, IKULU irudishiwe heshima yake, kina wale wa leaders club tupa kule!
 

Labda anataka kuridhiana na mashetani na majini aliyoshirikiana nayo kuwaua watanganyika. Akaridhiane na watoto wake aliowapa vyeo bandia kwa gharama za damu za Watanganyika.
Hakika nchi imeona shetani katika umbile la mwanadamu.
 
Ule upumbavu uliofanyika Zanzibar mwaka2020 Watu wanatekwa na kupigwa kuuawa na uchaguzi unaharibiwa halafu mwishoni inaitisshwa maridhiano uchwara wakati najulikana CCM wameiba na kuharibu uchaguzi
 
Chadema msithubutu kujihusisha kwenye hayo maridhiano acheni wakutane na wananchi USO Kwa uso mkijiweka tu katika hayo maridhiano mtawasafisha itakuwa ni sawa na kushiriki chaguzi zao haramu za kisisiem.
Chadema waliomba sana maridhiano kabla ya mauaji wakawa wanakebehi. Kama ulivyoshauri wakae mbali hatua Mia muda wa maridhiano ulishapita.
 
....
SAMIA NI MUUAJI
SAMIA NI MHAINI
SAMIA SIYO RAIS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…