Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,076
- 4,645
Samia ni raisi aliye ogopa sana kuchafuka, kwa ndani alitumia wasio julikana na wanao julikana
Huko nje sasa kumeanza kuchangamka na yupo out of control sijui atafanya nini.
Karata zake zote ndani kasha zicheza iwe kutumia vikundi visivyo rasmi kunyamazisha wakosoaji wake au kesi za mchongo, japo njia zote bado hazijazaa matunda nje nako wameanza kumkaba koo.
Katikati ya hayo yote anamtambulisha mchezaji mwingine anaitwa udini kupitia aliekuwa akipasha kwa mda mrefu
hawa ni mashehe ubwabwa na watumishi feki, anajaribu kulitenga kanisa Catholic dhidi ya Wakristo wengine.
Swali la mwisho atafanikiwa!?
Huko nje sasa kumeanza kuchangamka na yupo out of control sijui atafanya nini.
Karata zake zote ndani kasha zicheza iwe kutumia vikundi visivyo rasmi kunyamazisha wakosoaji wake au kesi za mchongo, japo njia zote bado hazijazaa matunda nje nako wameanza kumkaba koo.
Katikati ya hayo yote anamtambulisha mchezaji mwingine anaitwa udini kupitia aliekuwa akipasha kwa mda mrefu
hawa ni mashehe ubwabwa na watumishi feki, anajaribu kulitenga kanisa Catholic dhidi ya Wakristo wengine.
Swali la mwisho atafanikiwa!?