kenyamanyori
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 734
- 327
Mmeanza kutudandanya yale yale ya Mhe. Jk aliahidi hizo hizo million moja na hata nusu hakufika.
Millioni moja kwa mipango ipi ya kushutukiza acha hizo mambo. Viwanda vyenyewe wameisha retreat alafu ajira milioni wazitoe wapi.
Hizo za chupa inategemea nani anazifanya. Hivi kweli mkuu uwe una bachelor yoyote ila creativity yako itakuwa kuokota chupa na si wewe kuwa mwajili wa muokota chupa? Sijui kwanini umeziita ajira zisizo na staha! Nisingependa tuangalie kazi zingine zinastaha, zingine hazina staha ila tuangalie mimi naweza kufanya nini na siwezi kufanya nini na kwa nini siwezi kufanya nini.Nadharia zako kwa Tz hazihusiki
Tunauzoefu wakati JK alipotoa tathimini ya ahadi yake ya ajira milionl moja,waziri wake alitaja mpaka uokotaji wa chupa na "kazi" lukuki zisizo za staha. Ukiimanisha hizo unatutusi Watanzania na ni
UPUUZI MTUPU
wanaoponda awamu ya nne ni hawa viongozi wa awamu ya tano sisi wananchi wa kawaida tunaangalia tu,mambo yanavyokwenda na hata vyama vya upinzani wao wanaangalia tu,wapondaji wakubwa ni hawahawa viongozi wa awamu ya tano au wewe ulioni hilo?Nadhan
nadhani umefika wakala watanzania tuache kuwa too negative kwa kila jambo linalopangwa kufanywa kwa ajili ya nchi maana tutaonekana hatuna maana. Kipindi cha JK tuliponda, sasa tunaponda tena pamoja na awamu hii kuonesha matumaini lakini tumekuwa kama gunia. Tuache ushabiki usio na maana, tuwape matumaini awamu ya tano watimize vyema mipango walioanza kuifanyia kazi. TZ Kwanzaa, vyama baadae!!!
Mkuu ajira zisizo na staha iwe ni ajali ya maisha tuu sio mpango uliooangwa na watu tunaowalipa mamilioni huku wakituibiaHizo za chupa inategemea nani anazifanya. Hivi kweli mkuu uwe una bachelor yoyote ila creativity yako itakuwa kuokota chupa na si wewe kuwa mwajili wa muokota chupa? Sijui kwanini umeziita ajira zisizo na staha! Nisingependa tuangalie kazi zingine zinastaha, zingine hazina staha ila tuangalie mimi naweza kufanya nini na siwezi kufanya nini na kwa nini siwezi kufanya nini.
Kuokota chupa kila mtu akiwa na mtazamo wa "ajira zisizo na staha" dhahiri tutakwama kwenye uchafuzi wa mazingira.
Sikubaliani wala kuamini hizi ngonjera za magambas. Huyu mama atupe milioni zetu 50 kwanza kwa kila kijiji kabla ya kutuambia paukwa pakawa za ajira milioni 1!Hizo za chupa inategemea nani anazifanya. Hivi kweli mkuu uwe una bachelor yoyote ila creativity yako itakuwa kuokota chupa na si wewe kuwa mwajili wa muokota chupa? Sijui kwanini umeziita ajira zisizo na staha! Nisingependa tuangalie kazi zingine zinastaha, zingine hazina staha ila tuangalie mimi naweza kufanya nini na siwezi kufanya nini na kwa nini siwezi kufanya nini.
Kuokota chupa kila mtu akiwa na mtazamo wa "ajira zisizo na staha" dhahiri tutakwama kwenye uchafuzi wa mazingira.