GE2025 Samia: Tutajenga viwanda vya kuchakata maziwa Bukombe

GE2025 Samia: Tutajenga viwanda vya kuchakata maziwa Bukombe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Samia Suluhu kwenye kampeni Bukombe ameahidi kuwa; "Tunakwenda kuinyanyua sekta ya maziwa [Bukombe] lakini pia kuweka viwanda vitakavyochakata maziwa ili maziwa yawe bidhaa na wafugaji wale waweze kuuza bidhaa fedha iingie mfukoni na maisha yaendelee. Hiyo ndiyo kazi na utu."
 
Back
Top Bottom