Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 507
- 891
Baada ya kilio cha muda mrefu cha wakazi wa mikoa ya Kusini mwa Tanzania cha kukosa kituo kikuu cha mabasi, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi sasa kitajengwa katika eneo la Mkuranga mkoani Pwani.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mwandege, Mkuranga mwishoni mwa wiki, Rais Samia alisema suala hilo limeingizwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2025-2030 na kwamba kitajengwa
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mwandege, Mkuranga mwishoni mwa wiki, Rais Samia alisema suala hilo limeingizwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2025-2030 na kwamba kitajengwa