Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,091
- 5,279
Samia Suluhu for PRESIDENT (2025-2035)
Maono yangu ni kua Mama Samia Suluhu ataongoza chini ya CCM hadi 2035 sababu yeye ni mzanzibar.
Kama rais wa Tanzania, ataweza kupeleka maendeleo Zanzibar kama vile Magufuli alivyopeleka maendeleo chato.
Uongozi wa CCM hadi mwaka wa 2035 utapea Kenya nafasi ya kuipa Tanzania gap ya kiuchumi ambayo itakua kubwa Mara tatu zaidi ilivyo sa hizi.
Maono yangu ni kua Mama Samia Suluhu ataongoza chini ya CCM hadi 2035 sababu yeye ni mzanzibar.
Kama rais wa Tanzania, ataweza kupeleka maendeleo Zanzibar kama vile Magufuli alivyopeleka maendeleo chato.
Uongozi wa CCM hadi mwaka wa 2035 utapea Kenya nafasi ya kuipa Tanzania gap ya kiuchumi ambayo itakua kubwa Mara tatu zaidi ilivyo sa hizi.