Samia Suluhu anafaa kuwa mgombea urais

Samia Suluhu anafaa kuwa mgombea urais

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,639
Jambo moja sielewi, kwamba watu wengine wanataka mchakato wa kumpata mgombea urais CCM urudiwe ili Samia Suluhu athibitishwe au hata abadilishwe. Sioni sababu,kwa sababu Rais Samia amefanya kazi nzuri,na akichaguliwa tena ataendelea kama alivyofanya mwanzo. Anajenga flyover,anajenga daraja, anajenga barabara ya lami.
Lakini hawa Marais wanakuja wanakwenda. Watu wengine wanafaidika sana binafsi.
Magufuli,kwa mfano,hakuna Rais amewafaa Watanzania kuliko Magufuli, lakini maisha yangu mimi wakati wa utawala wake yalikuwa hohehahe.
Kipindi chote cha uongozi wa Magufuli bank account yangu ilikuwa dormant.
Kwa hiyo naona vigumu kwangu mimi kuingia kwenye mjadala wa CCM haikuwachagua vizuri wagombea wake,ianze upya.
Kuhusu Uchaguzi wa ndani unaondelea katika CCM sasa hivi,I hope virtue will triumph,na kwamba Uchaguzi hautaharibiwa na tamaa ya hela.
Hawa CCM, they must have the religious spirit. Vinginevyo, itakuwa kama siku zote: serikali zinainuka kwa hila,na baadaye zinaondoka kwa hila.
Hapa ndio kila kitu,kama alivyokuwa anasema Mzee Butiku jana,hapa unataka kuunda serikali mpya.
Hii siyo siasa ya kiima ambayo kiongozi habadilishwi. Huu ni uongozi wa viongozi kubadilika,ambapo aliyekuwa anaongoza,anarudi kuongozwa,kama Mzee Kikwete pale. Kwa hiyo haitakiwi kutokea glitch katika kubadilisha viongozi.
Uchaguzi lazima yatakuwepo matatizo yake
Tunavyoona kila kitu kinaenda vizuri. Uchaguzi ni kupata Cabinet mpya,ndiyo lengo la Uchaguzi.
Tamaa ni jambo baya. Hela watu wanapeana katika Uchaguzi. Lakini kwa kawaida huwa wanapewa na watu wale wale ambao walikuwa wamepanga kuwachagua hata bila kupewa hela.
Siku ya Qiyamat hakuna shahidi,shahidi ni wewe mwenyewe. Kwa hiyo siyo hekima kutenda kosa kwa kufikiria hakuna mtu anakuona.
Nadhani pia kuna tatizo CCM watu wanauliza ni lazima kuruhusu uongozi ununuliwe? Watu incompetent wanunue uongozi? Rubani aliyenunua certificate ya urubani anafaa kuwa rubani?
Kwa hiyo tunataka uongozi bora katika ngazi zote. Kwa sababu kiongozi mkubwa anahitaji watu wa kumsaidia.
Actually hata mimi hapa kama nikimchagua Majaliwa kuwa Waziri Mkuu na Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Fedha,mimi pia naweza kuwa Rais. Halafu wale watafanya kazi yote na mimi nitapata sifa yote.
Halafu nisiporidhishwa na kazi yao,nitawachagua wengine.
 
Jambo moja sielewi, kwamba watu wengine wanataka mchakato wa kumpata mgombea urais CCM urudiwe ili Samia Suluhu athibitishe au hata abadilishwe. Sioni sababu,kwa sababu Rais Samia anefanya kazi nzuri,na akichaguliwa tena ataendelea kama alivyofanya mwanzo. Anajenga flyover,anajenga daraja, anajenga barabara ya lami.
Lakini Hawa Marais wanakuja wanakwenda. Watu wengine wanafaidika sana binafsi.
Magufuli,kwa mfano,hakuna Rais amewafaa Watanzania kuliko Magufuli, lakini maisha yangu mimi wakati wa utawala wake yalikuwa hohehahe.
Kipindi chote cha uongozi wa Magufuli bank account yangu ilikuwa dormant.
Kwa hiyo naona vifumu kwangu mimi kuingia kwenye mjadala wa CCM haikuwachagia vizuri wagombea wake,ianze upya.
Kuhusu Uchaguzi wa ndani unaondelea katika CCM sasa hivi,I hope virtue will triumph,na kwamba Uchaguzi hautaharibiwa na tamaa ya hela.
Hawa CCM, they must have the religious spirit. Vinginevyo, itakuwa kama siku zote: serikali zinainuka kwa hila,na baadaye zinaondoka kwa hila.
Hapa ndio kila kitu,kama alivyokuwa anasema Mzee Butiku jana,hapa unataka kuunda serikali mpya.
Hii siyo siasa ya kimila ambayo kiongozi habadilishwi. Huu ni uongozi wa viongozi kubadilika,ambapo aliyekuwa anaongoza,anarudi kuongozwa,kama Mzee Kikwete pale. Kwa hiyo haitakiwi kutokea glitch katika kubalisha viongozi.
Uchaguzi lazima yatakuwepo matatizo yake
Tunavyoona kila kitu kinaenda vizuri. Uchaguzi ni kupata Cabinet mpya,ndiyo lengo la Uchaguzi.
Tamaa ni jambo baya. Hela watu wanapeana katika Uchaguzi. Lakini kwa kawaida huwa wanapewa na watu wale wale ambao walikuwa wamepanga kuwachagua hata bila kupewa hela.
Siku ya Qiyamat hakuna shahidi,shahidi ni wewe mwenyewe. Kwa hiyo siyo hekima kutenda kosa kwa kufikiria hakuna mtu anakuona.
Nadhani pia kuna tatizo CCM watu wanauliza ni lazima kuruhusu uongozi ununuliwe? Watu incompetent wanunue uongozi. Rubani aliyenunua certificate ya urubani anafaa kuwa rubani?
Kwa hiyo tunataka uongozi Bora katika ngazi zote. Kwa sababu kiongozi mkubwa anahitaji watu wa kumsaidia.
Actually hata mimi hapa kama nikimchagua Majaliwa kuwa Waziri Mkuu na Mwigilu Nchemba kuwa Waziri wa Fedha,mimi pia naweza kuwa Rais. Halafu wale watafanya kazi yote na mimi nitapata sifa yote.
Halafu nisiporidhishwa na kazi yao,nitawachagua wengine.
Mifupa ya yule mzee huko kaburini inageuka kwa hasira ya huu utopolo
 
Inawezekana una hoja mkuu, weka maandishi vizuri yavutie kusoma!

Kwa mama ntilie wanakula wa sh mbili, 5 star hotels wanakula wa vijisenti....ingawa mchele ni ule ule, ila mpangilio wa vya kupikia na mapishi ndo inatofautisha ladha na hadhi.

Uandishi wako ni mama ntilie mkuu!
 
Watu wanasema tuna ugomvi,tuna political deadlock,mkwamo wa kisiasa,kwa sababu watu wanatekwa sana,tutapatana vipi.?
Hata wakiambiwa watu wengine wanajiteka,hawaamini. Lakini,watu wengine wanajiteka.
Fikiria Ile incident ambapo Mbowe,Lema na Msigwa walitoroka session ya Bunge wakaenda kunywa pombe,waliporudi Mbowe akaumia mguu kwenye ngazi. Wakapatana pale kwamba wataisingizia CCM,kwamba CCM imetuma watu kumvunja mguu Mbowe ili asishiriki kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Incident nyingine; wale wadada wawili wa Chadema walikuwa wanagombania bwana,wakatekana,pia wakaamua kuisingizia CCM.
Kwa nini tusikubali kwamba hatubishani kuhusu jambo lolote,na tushiriki wote katika Uchaguzi ujao;wote pamoja na Chadema,wote kabisa.
 
Mkuu huu uandishi shida ni nini? Ni ngumu mtu kusoma na kuelewa

Pia jitahidi upangilie vizuri maandishi yako kwa kuweka paragraph.

Nitahuzunika endapo wewe ni degree holder
 
Back
Top Bottom