figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,984
- 60,032
Huna mzazi? Samia ni mama wa Abdul.. Acha kuvamia familia za wenzio.. Tamaa tu
Hata kama kuna waliofanya fujo, je, adhabu ya mtu kufanya fujo ni kifo cha kupigwa risasi ya kichwa?Waliouawa majumbani mwao walishiriki fujo gani? Fujo za kubaki nyumbani?
You’re seriously sick in the head!
Tundu Lissu "atatoka"; na Samia hana lake tena.Kamtoe Tundu Lissu.
Ulitaka Polisi wafanye nini dhidi ya yale magenge ya waharibifu na waporaji? Ubaya wa Samia uko wapi? Mbona ndiye aliwarudisha kutoka Belgium/ Canada akina Tundu na Lema waliokuwa wamekimbia kuuliwa na Magufuli? Samia ndiye aliyerudisha mikutano ya vyama na ruzuku mkapewa.Were you already born when she said, “…nguvu iliyotumika ilikuwa nguvu sahihi…”?
I know sycophants when I run into them—you’re one of them. I am sure even the fazafaka’s farting is good enough to launch you into a celebratory mood!
Ulitaka Polisi wafanye nini dhidi ya yale magenge ya waharibifu na waporaji?
Gentleman,Tundu Lissu alikuwa active toka kipindi cha Hayati Mheshimiwa Rais J.P Magufuli na hakuwahi kuactivate Jinai kwa sababu alijua hawezi kufanikiwa na ni kitu ambacho kingempa adhabu kali sana .
tafuta.Acheni kudai masuluhisho yenu ya kifedha kutoka kwa Mama Samia yeye anafanya ya msingi tu.
Atatoka kwa njia za kisheria , kwanza kesi kwsha shinda unaoendelea ni uhuni tuKamtoe Tundu Lissu.
Njaa kila mtu anayo,cha msingi unapewaje fursa?Kwa uandishi huu ni dhahiri wewe zero brain na una njaa kali kama ya Lucas Mwashambwa
Yeah nguvu iliyotumika ilikua sahihi stupid hakuna sheria iliyovunjwa ndiyo maana hakuna wa maana anayempinga.Were you already born when she said, “…nguvu iliyotumika ilikuwa nguvu sahihi…”?
I know sycophants when I run into them—you’re one of them. I am sure even the fazafaka’s farting is good enough to launch you into a celebratory mood!
It has never been easy even to Mama Samia.Money is difficult.
Mikono ya Mama Samia imewauwa hao?Hawa watoto walimpora nani? Walipora nini?
View attachment 3591512View attachment 3591513View attachment 3591514View attachment 3591515
Tunaongozwa na watu ambao wana uwezo mdogo wa kufikri ndiyo maana wakishindwa kujibu hoja wanatumia risasi na mabomu ya polisi.Njaa kila mtu anayo,cha msingi unapewaje fursa?
Kama umeona hivyo sawa na Mama napenda aone nilichoandika.Nchi inaongozwa na wenye uwezo mkubwa wa kufikiri .
Rais Taahira of the year 2025!Tyrant of the year 2025.