Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Hadi leo bado tunapiga porojo za sera za maji? 🤔 Hii ni aibu kweli! Nchi nyingine wanasonga mbele na teknolojia za kisasa, sisi bado tunajadili kama maji yatamiminika kwenye bomba au kwenye ndoo. Kwa kweli safari yetu ni ndefu kuliko hata msafara wa ngamia jangwani! 🐪
=================
“Lengo letu ni kwamba ifikapo miaka mitano ijayo kila Mtanzania awe karibu na maji safi na salama. Miradi ya maji Nakonde pamoja na ule mkubwa wa kutoa maji Mto Ruvuma kwa ajili ya Mtwara Mjini na Vijijini tutaikamilisha, sambamba na miradi midogo midogo inayotekelezwa maeneo mbalimbali,” amesema Rais Samia.
Mbali na sekta ya maji, mgombea huyo amezungumzia pia mafanikio katika sekta ya elimu ndani ya miaka minne iliyopita, akibainisha kuwa serikali itaendelea kuajiri walimu wapya, kujenga nyumba za walimu na kuimarisha miundombinu ya shule ili kuhakikisha elimu bora inapatikana nchi nzima.
=================
“Lengo letu ni kwamba ifikapo miaka mitano ijayo kila Mtanzania awe karibu na maji safi na salama. Miradi ya maji Nakonde pamoja na ule mkubwa wa kutoa maji Mto Ruvuma kwa ajili ya Mtwara Mjini na Vijijini tutaikamilisha, sambamba na miradi midogo midogo inayotekelezwa maeneo mbalimbali,” amesema Rais Samia.
Mbali na sekta ya maji, mgombea huyo amezungumzia pia mafanikio katika sekta ya elimu ndani ya miaka minne iliyopita, akibainisha kuwa serikali itaendelea kuajiri walimu wapya, kujenga nyumba za walimu na kuimarisha miundombinu ya shule ili kuhakikisha elimu bora inapatikana nchi nzima.