Samia hakusema nani kawaondosha hao wapendwa wake

Samia hakusema nani kawaondosha hao wapendwa wake

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,916
Reaction score
133,932
Nimemsikia mkuu wa dola Samia Suluhu Hassan, katika salamu za mwaka mpya 2026 amesema "Tumeondokewa na wapendwa wetu, tuendelee kuwaombea"

Katika kusema huko hakusema nani kawaondosha hao wapendwa? Lakini juzi kati tu hapa alisema wale walifuata mkumbo na aliwapa kubwa kulingana na walivyokuja. Sasa kivipi usikitishwe kuondokewa na watu ambao uliwapa kubwa mwenyewe?
 
Nimemsikia mkuu wa dola Samia Suluhu Hassan, katika salamu za mwaka mpya 2026 amesema "Tumeondokewa na wapendwa wetu, tuendelee kuwaombea"

Katika kusema huko hakusema nani kawaondosha hao wapendwa? Lakini juzi kati tu hapa alisema wale walifuata mkumbo na aliwapa kubwa kulingana na walivyokuja. Sasa kivipi usikitishwe kuondokewa na watu ambao uliwapa kubwa mwenyewe?
Tena watu wa kutoka nchi jirani Bora hata ingekuwa ni watanzania!
 
Back
Top Bottom