Naona dunia yako inakwenda tofauti kabisa na hii dunia ya wengine?Hii ni kutokana na serikali ya Kenya kuelekea kuelemewa na mzigo wa ulipaji wa Deni hilo kwa wakati.
Na mojawapo ya dhamana iliyowekwa kwenye mkataba huo.Ni pamoja na Bandari ya Mombasa na shirika la Reli la Kenya.