GE2025 Samia asiposhinda kwa asilimia 99.99 nitashangaa

GE2025 Samia asiposhinda kwa asilimia 99.99 nitashangaa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kesho jioni utasikia vyombo vya habari (kumbuka vyote vimegeuka kuwa takataka) vinatangaza maelfu wajitokeza kupiga kura tofauti kbs na uhalisia utakavyokuwa ground!.
 
Si yuko peke yake!

Kwa umri iue alitakiwa aishi kwa kutenda mema, naona amechagua kwa kupenda anasa za dunia!
 
Naomba niongee busara Moja

Naomba wajitahidi kuzuia kuweka asilimia zaidi ya 81% ya ushindi kwasababu zifuatazo, kwa maono yangu lakini

1. Itamfanya na itawafanya wanaompinga kuona kuwa hakushinda kwa zaidi ya asilimia 85% au zaidi, Hivyo jamii na Dunia kuona ushawishi wake umepungua na hivyo itamsaidia kupunguza ile chuki na maneno ovyo yanayotolewa na jamii yake na Dunia

2. Akishinda kwa asilimia hizo chini ya 81% itaionyesha jamii ya kidunia kuwa kumbe hata wengine walipigia kura vyama vingine tofauti na na chama chake hivyo inaonyesha Kuna demokrasia inayoendelea, tofauti na ikionekana kashinda 82% to 99.9%

3. Atapata ile inner peace ya Moyo, hivyo baada ya uchaguzi huo afanye mabadiliko makubwa ya kiutendaji na kurudisha ile heshima ambayo mitandaoni na baadhi ya sehemu wanajaribu kuishusha


Hayo ni mawazo tu' kwa ninachokiona.....

Ni watakie, nyakati njema na UCHAGUZI MWEMA
Kumbe niliona hili 🙏🙏🙏🙏🏆🏆
 
View attachment 3494919

Rais Daktari, profesa, al hajat, ustaadha, field marshal, generali, mtukufu, muadhamana nk nk nk Samia Suluhu Hassan asiposhinda urais kura ya wiki hii nitashangaa.

Kwanza, anagombea na chawa na si binadamu.

Pili, ni mtenda maajabu na miujiza kama kuweza kufuga na kuishi na machawa asikonde.

Tatu, timu yake ya uchafuzi, sorry, uchaguzi, ina kazi moja tu, kumtangaza tena akiwa ameshindishwa sorry ameshinda kwa kishindo.

Nne, anapondwa, sorry anapendwa sana kuliko hata Mungu mwenyewe.

..samuya kashinda kwa asilimia 98 sio 99.99!! 🤣
 
Tunachekwa hku mtu kushinda hizo %
Alafu kura mln hizo zimehesabiwa masaa
Kafhaa

Ova
 
Back
Top Bottom