Samia amethibitisha alivyo mdini tena mzembe

Samia amethibitisha alivyo mdini tena mzembe

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,427
Waliosikia na kuielewa hotoba ya leo ya Samia watakubaliana nani. Ameonyesha kushabikia udini na vurugu. Akiri. Urais hauwezi.

Aachie ngazi. Unamfunga mtu halafu unamlaumu. Hii ni haki kweli. Kimsingi, amezidi kumpaisha Tundu Lissu hata kama naye hafai kwa sababu hatujui mipango na falsafa yake.
 
Kwa nini ? Kwamba tunakwenda kuwa wakimbizi Uingereza na Ufaransa
Ndio amani ndio ilifanya wazaramo wazaliwe Wakefield na wafie bagamoyo ila kwa hali hii hakuna anayetamani kuishi yeye na kizazi chake tanzania. Anasema watu wamvumilie muda wake utaisha ,unawezje kuvumilia kila siku watu wanafuatwa nyumbani kuuawa?

Hiki cheo cha makamu wa rais kitazamwe upya namna ya upatikanaji wake
 
Waliosikia na kuielewa hotoba ya leo ya Samia watakubaliana nani. Ameonyesha kushabikia udini na vurugu. Akiri. Urais hauwezi.

Aachie ngazi. Unamfunga mtu halafu unamlaumu. Hii ni haki kweli. Kimsingi, amezidi kumpaisha Tundu Lissu hata kama naye hafai kwa sababu hatujui mipango na falsafa yake.
Udini wake uko wapi Sasa?!!!! Hivi nyie TEC ni mashetani ya namna gani?!!!!!!
 
Ndio amani ndio ilifanya wazaramo wazaliwe Wakefield na wafie bagamoyo ila kwa hali hii hakuna anayetamani kuishi yeye na kizazi chake tanzania. Anasema watu wamvumilie muda wake utaisha ,unawezje kuvumilia kila siku watu wanafuatwa nyumbani kuuawa?

Hiki cheo cha makamu wa rais kitazamwe upya namna ya upatikanaji wake
Aisee nyie watu wanafiki kupitiliza,, dar!!!!!! Anyway, Mungu yupo na Bado tunaamini atatulinda dhidi ya hila zenu chafu.
 
Upeo mdogo na kukimbilia vyeo asivyo na uwezo navyo ndio vimetufikisha hapa
Kwahiyo mwamba hapo ndo una upeo mkubwa yaani?!!!!🤣🤣🤣🤣🤣

Anyway, ukweli ni kuwa kilichotufikisha hapa haswa ni udini wa TEC
 
Back
Top Bottom