Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,272
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali, Mwanafunzi anayedhaniwa kuwa wa sekondari , mkazi wa eneo la stesheni wilayani Same amesombwa na maji ya mvua usiku huu akiwa anavuka korongo wakati akielekea mtaani kwake.
Mashuhuda ambao ni wanafunzi wenzake wamedai walikubaliana kuvuka kwa zamu na mwanafunzi mwenzao alipoanza kuvuka maji hayo yalimsomba.
Hadi muda huu wananchi mbalimbali wako eneo la tukio wakishirikiana kuutafuta mwili wa mwanafunzi huyo.
Poleni familia ya mwanafunzi.
Mashuhuda ambao ni wanafunzi wenzake wamedai walikubaliana kuvuka kwa zamu na mwanafunzi mwenzao alipoanza kuvuka maji hayo yalimsomba.
Hadi muda huu wananchi mbalimbali wako eneo la tukio wakishirikiana kuutafuta mwili wa mwanafunzi huyo.
Poleni familia ya mwanafunzi.