Sambwee Shitambara aachwa solemba na wananchi

Sambwee Shitambara aachwa solemba na wananchi

Froida

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2009
Posts
8,768
Reaction score
3,237
Shitambara ameiona NGUVU ya UMMA aachwa akisikilizwa na wana CCM wenye mashingingi ,ikiwa kwenye mkutano Uyole alikuwa akisikilizwa na wanachi nadhani wana CCM wachache pemeni kukiwa na wanachadema na bendera zao wakizipeperusha huku wakisikiliza alivyosema tuu jumamosi musihudhurie kwenye maandamano yaliyoitishwa na Chadema akashangaa hicho kikundi kidogo kilichokuwa kikimsikiliza wakiondoka mmoja baada ya mmoja saa hizi kabaki na wale wenye mashangingi na FFU na vinq'ola vinaingia jamani wanachi sio wakuchezea kwa kweli
 
Shitambara ameiona NGUVU ya UMMA aachwa akisikilizwa na wana CCM wenye mashingingi ,ikiwa kwenye mkutano Uyole alikuwa akisikilizwa na wanachi nadhani wana CCM wachache pemeni kukiwa na wanachadema na bendera zao wakizipeperusha huku wakisikiliza alivyosema tuu jumamosi musihudhurie kwenye maandamano yaliyoitishwa na Chadema akashangaa hicho kikundi kidogo kilichokuwa kikimsikiliza wakiondoka mmoja baada ya mmoja saa hizi kabaki na wale wenye mashangingi na FFU na vinq'ola vinaingia jamani wanachi sio wakuchezea kwa kweli

Huhitaji tochi kuona kwamba amefika mwisho wa reli kisiasa
 
Huyo habari yake ndo imeishia hapo. Asitegemee kung'ara tena kisiasa. Aende zake na unafiki wake, hana hata haya.
 
atakuwa kama tambwe na makamba kwisha habari, angalau tu fisadi kama el na ra wanavuma na vijisenti vyao
 
Imeonekana misululu ya magari na matipa ya CCM yakizomewa kwa nguvu zote wakati yakitoka "mkutanoni" . Watembea kwa miguu wenye sale wanazomewa. Jumamosi iko kazi. Wananchi wanasikitika huyu jamaa kawasaliti mchana kweupe!!

Siasa kitu cha ajabu aliowatukana akiwa CDM ndo hao anakokotana nao kwenye msululu.
 
Yaniii UYOLE ni kwakinaShitambala kabisa, kazaliwa na kukulia hapo kama nabii hajakubalika kwao kweli ccm kwisha habari yake! POLE SANA AFANDE SHITAMBALA!
 
Ni muhimu CDM kujua kuondoka kwa hiari kwa pandikizi ni neema kwani Angefukuzwa ingekuwa sababu ya Kuanza Kuleta Majungu, Ni Muda sasa umefika kurecruit the right persons, Najua alikuwa anataka kuonyesha kwa Mabwana Zake kuwa yeye ndio alikuwa na Mvuto na Si kwa sababu ya kuwa CDM, Maskini Chitambaraa, duh Kwishnei!! Maskini Pesa za kifisadi walizompa si Zitakwisha Karibuni!!
 
Shitambara ameiona NGUVU ya UMMA aachwa akisikilizwa na wana CCM wenye mashingingi ,ikiwa kwenye mkutano Uyole alikuwa akisikilizwa na wanachi nadhani wana CCM wachache pemeni kukiwa na wanachadema na bendera zao wakizipeperusha huku wakisikiliza alivyosema tuu jumamosi musihudhurie kwenye maandamano yaliyoitishwa na Chadema akashangaa hicho kikundi kidogo kilichokuwa kikimsikiliza wakiondoka mmoja baada ya mmoja saa hizi kabaki na wale wenye mashangingi na FFU na vinq'ola vinaingia jamani wanachi sio wakuchezea kwa kweli
Hilo ndilo tatizo la baadhi ya vijana, hawana uvumilivu ndani ya vyama, wakipata umaarufu kidogo tu wanakuwa BIG headed na kushawishika kirahisi, huyo dogo bado mchanga ktk siasa za TZ, we subiri tu CCM hawachelewi kuwatelekeza wasaliti kama hawa.
 
Shitambara ameiona NGUVU ya UMMA aachwa akisikilizwa na wana CCM wenye mashingingi ,ikiwa kwenye mkutano Uyole alikuwa akisikilizwa na wanachi nadhani wana CCM wachache pemeni kukiwa na wanachadema na bendera zao wakizipeperusha huku wakisikiliza alivyosema tuu jumamosi musihudhurie kwenye maandamano yaliyoitishwa na Chadema akashangaa hicho kikundi kidogo kilichokuwa kikimsikiliza wakiondoka mmoja baada ya mmoja saa hizi kabaki na wale wenye mashangingi na FFU na vinq'ola vinaingia jamani wanachi sio wakuchezea kwa kweli

Hii ni hasara nyingine kuubwa waliyoipata CCM maana kuna tetesi kwamba amenunuliwa kwa pesa nyingi sana.
 
Yeye aliamua kuondoka chadema kwa sababu anazozijua ,kila la heri kwenye mji mpya ila ukweli ni kwamba umamluki haulipi tena,Amwulize tambwe hiza
Salamu utaipata jumamosi
 
Yaniii UYOLE ni kwakinaShitambala kabisa, kazaliwa na kukulia hapo kama nabii hajakubalika kwao kweli ccm kwisha habari yake! POLE SANA AFANDE SHITAMBALA!
Ni kweli kabisa kazaliwa hapo Uyole kwa kuongezea amesoma shule ya msingi Uyole (Uyole kati) na alijulikana kwa jina la Charles. Kweli kijana ndiyo amefika mwisho wa safari yake kisiasa! Alijidanganya kuwa mwamko uliyopo uyole ni kwa ajili yake kumbe watu hawadanganyiki tena. mlungula apokee yeye halafu awaambie wanauyole wasiende kwenye maandamano kudai haki zao?!
 
Back
Top Bottom