Samatta Ndani ya UEFA

Samatta Ndani ya UEFA

Muunganiko wa timu bado itakuwa vizuri tu maneno yetu WA bongo hayo kipindi cha pili sijui itakuaje
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ht wamekula mkono,nadhani hadi full time itakuwa10
 
Kwa hiyo maneno aliyosema manara inawekana yana ukweli. Amesema ligi ya ubelgiji ni dhaifu mnoo kwenye Sports AM ya azama tv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom