Samatta mbioni kujiunga na Aston Villa

Salaam! Sidhani Kama kuna mtanzania ambaye Hana Furaha kwa tukio la mchezaji wetu kujiunga na Aston Villa inayoshiriki ligi kuu ya uingereza! Kongole kwa Samata na watanzania wote kwani hii ni fursa nzuri kwa wachezaji wetu.Kwa kawaida EPL huwa na matumizi ya nguvu na kasi kupita maelezo rejea mechi ya Jana Kati ya Watford na tottenham, na kwa jinsi nnavyomtazama mchezaji wetu naona ana changamoto kubwa Sana kufit ktk ligi hii hasa kwa hizi timu ambazo zinapambana ili kubaki ligi kuu kwani huonekana zina matumizi makubwa ya nguvu na kasi.Maana nnavyoonaga Akina Laccazete wanavyochokaga uwanjani napata Shaka kidogo. All in all Tunamtakia mafanikio mema mchezaji wetu Mbwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2004269.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam! Sidhani Kama kuna mtanzania ambaye Hana Furaha kwa tukio la mchezaji wetu kujiunga na Aston Villa inayoshiriki ligi kuu ya uingereza! Kongole kwa Samata na watanzania wote kwani hii ni fursa nzuri kwa wachezaji wetu.Kwa kawaida EPL huwa na matumizi ya nguvu na kasi kupita maelezo rejea mechi ya Jana Kati ya Watford na tottenham, na kwa jinsi nnavyomtazama mchezaji wetu naona ana changamoto kubwa Sana kufit ktk ligi hii hasa kwa hizi timu ambazo zinapambana ili kubaki ligi kuu kwani huonekana zina matumizi makubwa ya nguvu na kasi.Maana nnavyoonaga Akina Laccazete wanavyochokaga uwanjani napata Shaka kidogo. All in all Tunamtakia mafanikio mema mchezaji wetu Mbwana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wala hayo yasikuumize kichwa anaepamba hadi kufika hapo ni yeye mwenyewe kwahiyo sioni haja ya wewe mkulima wa alizeti huko nkasi uteseke, relax broo mwache apambane kivyake
 
Ni kweli hata Mimi najua hivo! Nimeshangaa hapa anatajwa SHAFII

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani swali la mleta mada limesukumwa na hii picha--
Samatta.png

Binafsi sina uzoefu sana kwenye mambo ya soka lakini kwenye entertainment industry, kuna tofauti kati ya Wakala na Meneja. Some Artists wana Wakala peke yake, na some Artists wana Wakala na Meneja.

Wakala kazi yake ni kukutafutia michongo ili akamate 10% yake (viwango vinatofautiana)! Usipokuwa na Meneja, na mwenyewe usipokuwa na uelewa, Wakala anaweza kukupiga hata 25, na zingine za nyuma ya pazia. Basically, Meneja anatakiwa kulinda na kusimamia maslahi yako, na kwenye entertainment industry inapendeza zaidi kama anakuwa ni mtu wako wa karibu kama Mzazi, ndugu au rafiki wa karibu!

Sasa tukija kwenye issue ya Dauda, anaweza asiwe Wakala, na ki ukweli sioni ni namna gani anaweza kuwa Wakala kwa issue hii lakini anaweza ku-act kama Meneja wa Samatta kwa sababu Zimwi Likujualo Halikuli Likakwisha! Kinyume chake, inawezekana hapo anamwaga wino kama WITNESS!!
 
Binafsi najua mawakala wanaotambulika na FIFA kutoka Tanzania ni Yusuf SSB na DAMAS NDUMBARO (alieMuwakala Haruna Moshi - Sweden)! Inawezekana na wengine wapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom