Mzungu ndio binadamu mwenye shukrani na fadhila kuliko kiumbe yeyote chini ya jua. Hawatasahau Kazi samata aliyowafanyia milele.Samagoal
View attachment 916034
Kweli kabisaMzungu ndio binadamu mwenye shukrani na fadhila kuliko kiumbe yeyote chini ya jua. Hawatasahau Kazi samata aliyowafanyia.
Ila bongo ikitokea umekosa hata penalty watakuponda na makopo ya mkojo hadi uchanganyikiwe licha ya kuwa unaongoza ufungaji bora wa ligi. Bongo nyoso.
Tatizo tuna wivu wa kijinga, we nenda kwenye jukwaa la sports wazushi tayari wameshaweka thread ya kumponda kama kawaida yaoMzungu ndio binadamu mwenye shukrani na fadhila kuliko kiumbe yeyote chini ya jua. Hawatasahau Kazi samata aliyowafanyia.
Ila bongo ikitokea umekosa hata penalty watakuponda na makopo ya mkojo hadi uchanganyikiwe licha ya kuwa unaongoza ufungaji bora wa ligi. Bongo nyoso.
Mzungu ndio binadamu mwenye shukrani na fadhila kuliko kiumbe yeyote chini ya jua. Hawatasahau Kazi samata aliyowafanyia.
Ila bongo ikitokea umekosa hata penalty watakuponda na makopo ya mkojo hadi uchanganyikiwe licha ya kuwa unaongoza ufungaji bora wa ligi. Bongo nyoso.
