Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,876
- 18,882
Ndio tutapofikaBasi tuseme mayele Ni Bora kuliko Messi na Ronaldo, kwasababu hawako kwny peak
KumfananishaTwende kwa data zaidi
Mayele kafanya kipi na Samata amefanya kitu gani?
Baada ya hapo tutapima ubora wa mchezaji kulingana na ubora wa mpinzani anayekutana naye.
Umemaliza, yani kuna watu wapumbavu mpaka huruma!!!Basi tuhitimishe kabisa mayele Ni Bora kuliko Messi na Ronaldo,kwasababu hawako kwny peak. Uzi ufungwe
Basi tuhitimishe kabisa
mayele Ni Bora kuliko Messi na Ronaldo,
kwasababu hawako kwny peak uridhike
Kuhusu kuwa wanakuwaje wakiwa kileleni mademu zao ndiyo wako kwenye nafasi nzuri ya kujibu swali hiliView attachment 2643575
Wote ni washambuliaji wa mwisho, Samatta alikuwa mmaliziaji zaidi wakati Mayelle anatengeneza nafasi pia anamalizia, lakini pia ana spidi na anaweza kufunga goli katika angle ngumu, akienda Ulaya atafanya vizuri zaidi.
Naona kama Mayelle ni zaidi, ni mtazamo tu lakini sio vita.
Kwa hiyo mkuu goal la Aston villa dhidi ya Citizens final ya FA hakufunga Mayele?Mayele...AS VITA to YANGA.
SAMATTA...AFRICAN LYON-SIMBA-MAZEMBE-GENK-ASTON VILLA-FERNABANCE-ROYAL ANTWERP.
SAMATTA ..PLAYED UEFA AGAINST LIVERPOOL AND SCORED.
SAMATTA,INSPIRED ALOT OF BIG PLAYERS NOW, OTHOS BALEKE AKIWA MAZEMBE ALIKUWA ANAITWA SAMMATA.
KWA DATA HIZO CHACHE,UTAJAZA MWENYEWE NANI NI MWAMBA HAPO.
George Mpole ni zaidi ya Mayele akijitambua km unavyoona kwenye picha ambatanishi hapo.View attachment 2643575
Wote ni washambuliaji wa mwisho, Samatta alikuwa mmaliziaji zaidi wakati Mayelle anatengeneza nafasi pia anamalizia, lakini pia ana spidi na anaweza kufunga goli katika angle ngumu, akienda Ulaya atafanya vizuri zaidi.
Naona kama Mayelle ni zaidi, ni mtazamo tu lakini sio vita.